excellentone
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 721
- 471
Utafika tu kama ulivyowafikia akina Mugabe Mobutu kamuzu Banda gadaff na uchwara wengine wote waliokutangulieniMuda upi tena kama sasa ni zaidi ya miaka 50 na ndiyo kwanza kama wamezaliwa mwaka 2017....kwa watanzania hawa hawa na ipinzani huu huu, tutasubiri sana huo muda.