Askofu Stephen Munga: Mdude CHADEMA karibu tena duniani

Askofu Stephen Munga: Mdude CHADEMA karibu tena duniani

Babu acha siasa unajua ndio maana kile chuo chako cha SEKOMU kimepigwa pini na usalama wake niwewe uachie ngazi na mkeo. Nimekushauri kwa upendo tu baba askofu wetu.
Poa tumekusikia. Turudi kwenye mada husika.
 
Mtemi Chenge(mzee wa vijisenti) tumeona uthubutu wako. Polisi ilibidi wafungue jalada la uchunguzi.
 
Tangu nilipoyaona yale matusi how I wish wangekaua huko huko Goddamn siku zote mdomo unaponza kichwa halafu kijana unamdharau unamtukana na kumdhalilisha rais kiasi kile? Mimi kama mwanajeshi mwenye uzalendo na nchi hii na nisiyefungamana na upande wa chama chochote ningepewa hii mission ningekunyoosha vizuri bwana mdogo mpaka ungefurahi na roho yako .

Kutoka kambini.
lakini mtu anayetukana si anashugughulikiwa kwa sheria zilizopo? au anashughulikiwa gizani kwa mashetani? Nuru na giza havitengamani
 
Wewe ni KIWAVI JESHI sio MWANAJESHI
Tangu nilipoyaona yale matusi how I wish wangekaua huko huko Goddamn siku zote mdomo unaponza kichwa halafu kijana unamdharau unamtukana na kumdhalilisha rais kiasi kile? Mimi kama mwanajeshi mwenye uzalendo na nchi hii na nisiyefungamana na upande wa chama chochote ningepewa hii mission ningekunyoosha vizuri bwana mdogo mpaka ungefurahi na roho yako .

Kutoka kambini.
 
Back
Top Bottom