Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Madhara ya kuchangia mada kabla ya kuisomaGwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Madhara ya kuchangia mada kabla ya kuisomaGwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Gwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Every time you are out of phase!!! Unataka kutuambia kuwa ni mpango wako kumkomesha!!!??
Gwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Madhara ya kuchangia mada kabla ya kuisoma
jamani hali ya mgonjwa inaendeleaje?
Nilikua nasikiliza Radio. Kuna habari moja inasema Askofu wa Kanisa la ufufuo na uzima, mchungaji Gwajima alivamiwa na majambazi na kwa sasa amelazwa katika hospital ya Bugando Jijini Mwanza. Taarifa zaidi zinasema amepata jeraha usoni na jeraha jingine alilochorwa alama ya msalaba!
Hii habari ina ukweli?
=======
Madhara ya kuchangia mada kabla ya kuisoma
Gwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Gwajima kacheza na shillingi chooni.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Faiza Foxy dini imemkolea hadi anatamani kila mada iwe ya kuandama na kuuwa wakiristo, kuna,siku yatamkuta na atajutaMadhara ya kuchangia mada kabla ya kuisoma
Nimeisoma vizuri sana ndiyo maana nikafikisha huo ujumbe.
Nisome vizuri labda utanielewa, wenye uelewa wameshanielewa.
Tatizo lako wewe ni misimamo mikali, kwa jinsi unavyochangia mada humu JF nahisi wewe unafadhili Alshabab, boko haramu, ISIS.