Ngoja sasa hiyo come back yake ya j2 hapo kwa Gwaji boy,mbona huyo Ruwaichi atacheza disco dancer!Aidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Watu wanamchokoaga sana huyu mzee, ngoja awapelekee motoNgoja sasa hiyo come back yake ya j2 hapo kwa Gwaji boy,mbona huyo Ruwaichi atacheza disco dancer!
Kabisa kabisa. Kila mtu anawajibika kwa afya yake. Maswali yanayoulizwa na Askofu Gwajima ni ya msingi. Tupate majibu.Jibuni hoja za Gwajima na sio Kejeli!
BABA ASKOFU ANGEKAA KIMYA TU, VITU VINGINE SIO VYA KUJIHUSISHA NAVYO HASA UKIZINGATIA SUALA HILI NI HIARI KILA MTU ANA UCHAGUZIAidha ameongeza kwa kusema "utashi wa Mungu tuwe hai,hao wengine wapiga kelele kina Gwajima achaneni nao"
Chanzo;Mwanahalisi Digital
Nadhani tusubiri Jumapili kwa majibu ya upande wa pili.View attachment 1906542
Cha msingi ni kuwaambia waumini wachukue tahadhari lakini hayo mambo ya kurushiana vijembe sidhani kama ni afya njema, kama Gwajiboy na wafuasi wake wanaamini hawachanji basi awaache tu, kwa nini atumie nguvu kubwa sana ?Ni kweli na hasa ukizingatia Gwajiboy mwenyewe ni mtu wa ligi na hajali chochote
Ngoja aje akutane na majibu ya mtu mfupiBABA ASKOFU ANGEKAA KIMYA TU, VITU VINGINE SIO VYA KUJIHUSISHA NAVYO HASA UKIZINGATIA SUALA HILI NI HIARI KILA MTU ANA UCHAGUZI
😀😀Gwaji fala....mazuzu ndo wanamshadafia. Kanisa gani halielewek mlango upi dirisha lipi na anakusanya malaki kwa mamilion