- Thread starter
- #21
Kitima? Kitima is a Bishop in the making! Ukimfamyia hivyo Kitima na Askofu unaweza kumfanyia hivyoUnasemaje hivi we unamchukuliaje askofu wa kikatoliki? Sio kitu rahisi hivyo. Serikali yenyewe inajua. Hawawezi hata kufikiria au kuwaza kumteka hata akae kibalazani peke yake usiku wa manane. Ni kuchukua tu taadhari zile za kawaida kama ajali za kusababishwa au vyakula lkn sio kutekwa.