Askofu: Rais Kikwete usivunjike moyo

Askofu: Rais Kikwete usivunjike moyo

Hawa CHADEMA wamechezea hii nchi vya kutosha ni wakati sasa rais ajae aone uhuru wa kuongea kwa wapuuzi kama hawa basi na awapige pini vya kutosha

Ndio matamanio yako ya kila siku we shilingi ('shilingi' hata zikiwekwa 100 bado hazinunui kitu cha maana). Kwa taarifa yako mataifa ya ulaya mnayopenda kuwaegemea kila siku uhuru ni zaidi ya huu unaouona hapa, rais anatukanwa kama kawa hadi hasira za mtu ziishe.
Hivi mkikaa kuogelea kwenye ufisadi huko mnasahau kama wenzenu wako kwenye shida eh? Leteni hizo sheria tuone kama zitafaa kipindi hiki
 
8D6U8671.JPG


Kikwete na Maarais wastaafu walivyojitahidi kumkumbatia Pengo katika nafasi yake ya anniversary ya uaskofu miaka 25 Dar na ndio maana amekuwa kimbilio la Kikwete kutoa matamkoa yanayoendana kinyume na msimamo wa pamoja wa kanisa katoliki, ndicho anachofanya askofu Ndimbo.
Candid Scope

Hii habari si ya kuaminika sana ni propaganda za kutaka kulisha kanisa katoliki maneno. Week kadhaa zilizolopita mleta mada huyu huyu alikuja na taarifa kwamba maaskofu wamewataka UKAWA warudi bungeni bila masharti. Habari yake iljaa propaganda nyingi na ililazimu TEC watoe ufafanuzi. Leo tena anakuja kwa mtindo ule ule...

Pia ni magazeti mawili tu (majira na Habari Leo) ndiyo yenye hii habari?
 
Back
Top Bottom