mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Hivi UKAWA mnazo kweli? mnajua kabisa issue ya Katiba ni nyeti halafu mfanya utoto kiasi hicho?
Wewe mpumbavu jaribu kuupunguza urudi kwenye ujinga.....taratibu utauona ukweli
Hivi UKAWA mnazo kweli? mnajua kabisa issue ya Katiba ni nyeti halafu mfanya utoto kiasi hicho?
Ndugu, Tatizo hapa ni nini?. Ulitaka wasihudhuria hiyo sherehe baada ya kupata official invitation?.![]()
Kikwete na Maarais wastaafu walivyojitahidi kumkumbatia Pengo katika nafasi yake ya anniversary ya uaskofu miaka 25 Dar na ndio maana amekuwa kimbilio la Kikwete kutoa matamkoa yanayoendana kinyume na msimamo wa pamoja wa kanisa katoliki, ndicho anachofanya askofu Ndimbo.
Ndugu, una haki ya kukubali au kukataa fikra zake kwa vile yeye alichokifanya ni kutimiza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Mbinga.inasikitisha sana kuona askofu anafikra potofu katika hili, watanzania wezangu tunakwenda wapi? lakini mtu kama askofu hana dhiki na taabu na ndiyo maana anakashfu haki ya wasakatonge.
Si kuna nguruwe nimesikia inasema Rais ajaye ndo ataongoza Tanzania yenye watu wenye maisha bora? Sasa ni mburura gani tena anasema ameboresha maisha ya watanzania? Akili ndogo ni janga!!Ndugu, usihangaike na watu tunaowaita ''debe tupu'' ambalo kelele ndiyo jadi yake.
Waache waendelee kusema lakini ukweli unaendelea kusimama kila siku.
Rais Kikwete amenukuliwa akisema, Hatuwezi sisi kujiingiza katika shughuli ya kupoteza muda kwa kushiriki upuuzi na ujinga. Haya ni maneno ya kipuuzi yanayosemwa na watu ambao kazi yao usiku na mchana ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania.
askofu muoga ameacha kondoo wake waangamie na anadiriki kumpa moyo muangamizaji wa kondoo wake.
Ni aibu sana kumuona askofu anadiriki kuvaa sura ya unafiki huu ila round hii mtaumbuka.
Ndugu, usihangaike na watu tunaowaita ''debe tupu'' ambalo kelele ndiyo jadi yake.
Waache waendelee kusema lakini ukweli unaendelea kusimama kila siku.
Rais Kikwete amenukuliwa akisema, Hatuwezi sisi kujiingiza katika shughuli ya kupoteza muda kwa kushiriki upuuzi na ujinga. Haya ni maneno ya kipuuzi yanayosemwa na watu ambao kazi yao usiku na mchana ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania.
haya askofu mwingine kasema, watu watakuja sema nae kalipwa.
Hiyo nukuu kwenye nyekundu ilitolewa na Kikwete huko Washington D.C. wakati alipokuwa anajitetea kuwa hakuhusika na kwenda kumtoa mtoto wake huko China anakosemekana alikamatwa na madawa ya kulevya!!
Wewe una fikiria vipi?. Nisaidie!Je serikali yake inabadilisha maisha ya Watanzania kwa kufumbia macho wauza madawa ya kulevya na wala rushwa?
Mitazamo na fikra za wanaCHADEMA zinashangaza na kuchekesha sana!Ulishakuja uzi hapa kusema kwamba kutakuwa nq mbinu watakazofanya ccm kutumia viongozi wa dini kusema kwamba wao wanaunga mkono mchakato wa kupitisha rasimu ya katiba ya ccm. Hivyo basi sishangai kuona haya yakisemwa sasa. Hata hivyo nguvu nyingi zinazotumika kuhalalisha mchakato huo ni dalili tosha kwamba ccm wanajua fika kwamba wanachokifanya hakiungwi mkono na wananchi walio wengi.
Mkuu, ni vigumu kuwaamini waandishi wa habari wa Kitanzania hasa magazeti kama Habari leo na Uhuru. Ukifuatilia sana kwa undani utakuta alilolisema Ndimbo ni kitu tofauti kabisa. Kumbuka walivyoandika kuhusu kauli ya Askofu Severine Niwemugizi aloyasema kule Iringa kwa Ngalalekumtwa ilohusu mchakato wa katiba hii mkwamo, mambo tofauti kabisa aloyasema na yaloandikwa....jamani si TEC wameshatoa msimamo?,sasa huyu anatoka wapi?.Kanisa katoliki inapoteza mwelekeo kabisa!.Ikiwa ni kweli Bishop huyu kasema hayo basi kanisa catholic inakosa uwajibikaji wa pamoja.Kanisa inatakiwa kuwa mpatanishi full stop.wamepotoka wengi sana kwa sb ya maslahi binafsi but Tanganyika itashinda.
Ndugu, usihangaike na watu tunaowaita ''debe tupu'' ambalo kelele ndiyo jadi yake.
Waache waendelee kusema lakini ukweli unaendelea kusimama kila siku.
Rais Kikwete amenukuliwa akisema, Hatuwezi sisi kujiingiza katika shughuli ya kupoteza muda kwa kushiriki upuuzi na ujinga. Haya ni maneno ya kipuuzi yanayosemwa na watu ambao kazi yao usiku na mchana ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania.
Mchangiaji, Profesa Anna Tibaijuka, alisema Rais Kikwete ameibuka mshindi katika mchakato huo, kwa kutimiza matakwa ya demokrasia ya kusikiliza wachache, kwa kuwa alianzisha mchakato huo, ingawa haukuwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2010.kunauhusiano gani kati ya mada ya katiba uliyoweka na nukuu ya Kikwete ya "kubadilisha maisha ya watanzania"??
ni kwa vipi mchakato huu wa katiba umebadilisha maisha ya watanzania??