Huyu Askofi Arudishwe kwao Congo asije leta mauaji Kama walivyofanya Rwanda
embu ona maccm yalivyo malafi ktk madaraka kwa hiyo mtu kutaka katiba mpya ni kuleta machafuko?
Huyu Askofi Arudishwe kwao Congo asije leta mauaji Kama walivyofanya Rwanda
Aendelee ndio simu ya uchwara isimvimbishe kichwa
As long as uko tayari kufa, then utabarikiwa kwa kuwasemea wanyonge
Nchi zilizoendelea kama Uingereza wala hazina kitu kinachoitwa katiba ya nchi. Walishaachana na upumbafu huo.
Je walivyokuwa wanamkosoa jk walikuwa nayo kwasasa nani kawanyang'ang'aBanana+Kirikuuu+Ugoro=Ukichaa
Subiri pakuche utajitambua
Ni sawa kabisa mkuuAskofu ni raia wa Tanzania anaouhuru wakutoa maoni ktk nchi na mchango wake ili baadae iwe nchi bora yenye usawa na utawala bora