Askofu Niwemugizi: Nitaendelea Kuhoji Mambo ya Muhimu ya Nchi ikiwemo Katiba sitanyamaza

Ww jamaa bado hujabalehe kiakili,katba ndyo sheria mama,ndyo muongozo Mkuu wa nchi na watu wake pamoja na rasilimali zote..., we need a constitution amendment ili kuweka mambo sawa
Ninauhakika kama pangekuwepo na kipengele chenye kuwabana wabunge mataka taka wasingejiuzulu!
Nchi zilizoendelea kama Uingereza wala hazina kitu kinachoitwa katiba ya nchi. Walishaachana na upumbafu huo.
 
sometimes silence means a lot, You are man of God, you should talk about jesus coming. period
 
Baba Askofu kuna uhamisho unakunyemelea usishange ukahamishiwa Kenya au Vaticano.
 
Amina,
Maana wewe huna off ya kufa
Na kama utatenda haki na kufuata aliyoyaamulu mwenyezi mungu basi hata ukifika binguni ataketi kuume kwa baba muumba mbigu na dunia
 
Hivi kwenye ule mgawo wa Rugemalila wa fedha za Escrow jina la askofu huyu halikuwamo kweli? Sikumbuki vizuri. Kama lilikuwamo basi ninaweza kuelewa lengo lake baada ya kuona Rugemalila kaishanasa. Wale waliopokea hizo pesa wanaweza kuunganishwa anytime kwenye hiyo kesi. Atakuwa anatafuta kisingizio ili hilo litakapotokea aseme ni kwa sababu alihamasisha katiba ya warioba!
 
Ya Kaisari mwachie Kaisari na ya Mungu mwache Mungu. Haipendezi baba askofu au sheikh akawa anashughulika na mambo ya kaisari. Tutaipeleka pabaya nchi yetu. Katiba mpya au iliyopo hazihusiki na ibada yo yote ile.
Kwani hao masheikh na maaskofu sio Watanzania?
 
Maaskofu hawana moral authority ya kuikosoa serikali kwa sababu wao wenyewe na taasisi zao hazina hadhi ya kuwa wakosoaji. Ndani ya taasisi za kanisa hakuna uwazi ktk mambo mbalimbali yakiwamo matumizi ya fedha za waumini.Pia seminari sasa zinalalamikiwa kuwa ni kichaka cha ushoga. Kuna ukandamizaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ndani ya kanisa. Wanachukua Ardhi kubwa toka kwa wananchi bila fidia wakiwadanganya kuwa wataleta maendeleo.Matokeo yake ardhi inakaa miaka na miaka hakuna kitu.Ni utapeli mtupu. Msingi wa katiba yoyote ile ni kulinda haki. Basi hao viongozi wa dini waanze kujenga uadilifu na haki ndani ya mioyo yao. Vinginevyo hao ni waongo wanaotafuta kiki tu. Wasafishe kwanza nyumba zao. Waache usanii.
 
Maaskofu hawana moral authority ya kuikosoa serikali kwa sababu wao wenyewe na taasisi zao hazina hadhi ya kuwa wakosoaji. Ndani ya taasisi za kanisa hakuna uwazi ktk mambo mbalimbali yakiwamo matumizi ya fedha za waumini.Pia seminari sasa zinalalamikiwa kuwa ni kichaka cha ushoga. Kuna ukandamizaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ndani ya kanisa. Wanachukua Ardhi kubwa toka kwa wananchi bila fidia wakiwadanganya kuwa wataleta maendeleo.Matokeo yake ardhi inakaa miaka na miaka hakuna kitu.Ni utapeli mtupu. Msingi wa katiba yoyote ile ni kulinda haki. Basi hao viongozi wa dini waanze kujenga uadilifu na haki ndani ya mioyo yao. Vinginevyo hao ni waongo wanaotafuta kiki tu. Wasafishe kwanza nyumba zao. Waache usanii.
Banana+Kirikuuu+Ugoro=Ukichaa

Subiri pakuche utajitambua
 
Asante baba askofu.
Naomba uwatie Moyo maaskofu wenzako na mapadri, wajue kwamba, wasipoyasemea haya, wanakuwa wanasaliti kiapo chao cha kuwatumikia wanyonge waluo wengi.
Bila kusahau mashehe kama hawapo vile wajifunze kwa askofu huyu anaetamani haki ipatikane nimemsifu kwa umahiri wake
 
Ya Kaisari mwachie Kaisari na ya Mungu mwache Mungu. Haipendezi baba askofu au sheikh akawa anashughulika na mambo ya kaisari. Tutaipeleka pabaya nchi yetu. Katiba mpya au iliyopo hazihusiki na ibada yo yote ile.

Desmond Tutu alipoondoka Oslo mwaka 1984 baada ya kupokea Nobel prize sehemu ya kwanza alipotua Afrika ilikuwa ni Ukonga, kutuonyesha Watanzania zawadi yake (enzi hizo Tanzania ilikuwa a moral conscious ya dunia). Najua anafuatilia yanayoendelea Tanzania. Anaposikia tunasema ya makanisa tumuachie Ngoswe anasikitika sana.
 
Back
Top Bottom