Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Last edited by a moderator:
Gwajima kamkashifu sana Pengo. Natamani atokee mzee mmoja wa heshima na busara amshauri Gwajima akamwombe Pengo radhi.
Basi Pengo ana upako wa roho mtakata. Amen na abarikiwe sana.hAINA HAJA, Mwadhama Pengo tayari amewasamehe wote
Mm nazan wafwasi pia waludi menkwa.....iman nazo n upofuI.Q ya Gwajima ni ndogo sana, akasome MEMKWA.....!
Ni kweli mkuuGwajima kamkashifu sana Pengo. Natamani atokee mzee mmoja wa heshima na busara amshauri Gwajima akamwombe Pengo radhi.
noma sanaUkichanganya bangi na dini ni hatari
Maisha hayaendi bila unafikiDuh...!.
Japo siungi mkono kauli hizi za Gwajima kumtukana Pengo, ila
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Umemaliza mkuuMaisha hayaendi bila unafiki
Unafiki ndio Ina run dunia