Askofu Mwamakula: Polepole ametahadharisha tusipokuwa makini, Serikali inaweza 'kutekwa nyara' na kubaki kama 'mwanasesere'

Hamza ameuawa lakini haikuzuia uchunguzi kufanyika hadi wanadai eti alikuwa ni gaidi, sasa inapofika kwa Tundu Lissu wanasingizia dereva hayupo, sasa kama wangekufa upelelezi ina maana usingefanyika?

1. Kwa nini siku ya tukio walinzi waliondolewa lindoni.

2. Kwa nini Magufuli alikataza watu wasiende kumuona Lissu Nairobi.

3. Kwa nini waliovaa tisheti zenye maandishi "Pray for Tundu Lissu" walikamatwa na polisi.

4. Kwa nini Kalemani aliondoa zile cctv camera baada ya tukio.

5. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asitibiwe kwa fedha za serikali wakati alikuwa ni mbunge.

6. Kwa nini Magufuli aliposema msaliti hawezi kuachwa aishi haikupita siku tu Lissu anashambuliwa.

7. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asilipwe stahiki zake na kuvuliwa ubunge

8. Kwa nini hata baada ya Magufuli kuhujumu uchaguzi bado alikomalia kutaka kumuua Lissu hadi akakimbia nchi.

Maswali ni mengi lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Magufuli alikuwa ni mtu muuaji na ajue atakumbana na hukumu ya Mungu shetani mkubwa huyo, hata akina Saanane na Azory inasemekana kawaua au utatwambia wako wapi hao watu.
 
Hamza ameuawa lakini haikuzuia uchunguzi kufanyika hadi wanadai eti alikuwa ni gaidi, sasa inapofika kwa Tundu Lissu wanasingizia dereva hayupo, sasa kama wangekufa upelelezi ina maana usingefanyika?

1. Kwa nini siku ya tukio walinzi waliondolewa lindoni.

2. Kwa nini Magufuli alikataza watu wasiende kumuona Lissu Nairobi.

3. Kwa nini waliovaa tisheti zenye maandishi "Pray for Tundu Lissu" walikamatwa na polisi.

4. Kwa nini Kalemani aliondoa zile cctv camera baada ya tukio.

5. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asitibiwe kwa fedha za serikali wakati alikuwa ni mbunge.

6. Kwa nini Magufuli aliposema msaliti hawezi kuachwa aishi haikupita siku tu Lissu anashambuliwa.

7. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asilipwe stahiki zake na kuvuliwa ubunge

8. Kwa nini hata baada ya Magufuli kuhujumu uchaguzi bado alikomalia kutaka kumuua Lissu hadi akakimbia nchi.

Maswali ni mengi lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Magufuli alikuwa ni mtu muuaji na ajue atakumbana na hukumu ya Mungu shetani mkubwa huyo, hata akina Saanane na Azory inasemekana kawaua au utatwambia wako wapi hao watu.
 
Hamza ameuawa lakini haikuzuia uchunguzi kufanyika hadi wanadai eti alikuwa ni gaidi, sasa inapofika kwa Tundu Lissu wanasingizia dereva hayupo, sasa kama wangekufa upelelezi ina maana usingefanyika?

1. Kwa nini siku ya tukio walinzi waliondolewa lindoni.

2. Kwa nini Magufuli alikataza watu wasiende kumuona Lissu Nairobi.

3. Kwa nini waliovaa tisheti zenye maandishi "Pray for Tundu Lissu" walikamatwa na polisi.

4. Kwa nini Kalemani aliondoa zile cctv camera baada ya tukio.

5. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asitibiwe kwa fedha za serikali wakati alikuwa ni mbunge.

6. Kwa nini Magufuli aliposema msaliti hawezi kuachwa aishi haikupita siku tu Lissu anashambuliwa.

7. Kwa nini Magufuli aliamuru Lissu asilipwe stahiki zake na kuvuliwa ubunge

8. Kwa nini hata baada ya Magufuli kuhujumu uchaguzi bado alikomalia kutaka kumuua Lissu hadi akakimbia nchi.

Maswali ni mengi lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Magufuli alikuwa ni mtu muuaji na ajue atakumbana na hukumu ya Mungu shetani mkubwa huyo, hata akina Saanane na Azory inasemekana kawaua au utatwambia wako wapi hao watu.
 

Nilijua kuwa Askofu Kadiri ya mwanzo wa maelezo yake angekuwa wa kwanza kumkaribisha mwanampotevu katika mikono ya Mungu Wake bila kumjudge kwanza kwa hayo madhambi yake. Baba askofu mtakatifu. Usiye na makosa msamaha ndo Zawadi kuu ya kiongozi dini. Luka 15. Wewe Ni askofu wa Nini. CHadema.
 
Unamkana Mwamba manka penseli?!!
Unatoka nyumbani kila siku asubuhi, unaaga unakwenda kazini. Kazi yenyewe unayofanya kila siku ni hivi visentensi visivyokuwa na maana yoyote, kila siku!

Watu kama wewe nao tuwahesabu kati ya waTanzania watakaoleta maendeleo kwenye nchi hii?

Hebu nikuulize swali bila ya kejeli yoyote, hivi nawe kweli unapato la zaidi ya dola 2 za kimarekani kwa siku? Ni nani anayekulipa kiasi hicho, huko huko ndani ya chama cha CCM?
 
Narudia tena only great thinkers ndio watamuelewa pole pole, bwana mmoja amesema Kuwa ni vigumu kumuamini jambazi asemapo ujambazi ni mbaya lakini ukweli utabaki hivyo.
 
Humsikilizi huyo jamaa Ila unaenda kwa wanaomsikiliza ili wakusimulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…