Askofu mkuu Thadeus Ruwaichi anaunguruma muda huu!

Askofu mkuu Thadeus Ruwaichi anaunguruma muda huu!

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,992
Reaction score
34,840
Wakuu,

Askofu mkuu wa jimbo la Dar es Salaam anatoa tamko muda huu kama Kiongozi wa Tume ya haki na amani TEC. Kupitia TV Tumaini anasema wakati wa kuzungumza ni sasa na hatujachelewa.

Amesisitiza sauti ya umma isipuuzwe! Ni katika adhimisho la misa Takatifu UWAKA day.
 
Back
Top Bottom