M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 2,866
- 4,767
Usisahau shetani ana mamlaka yakeImeandikwa "Tiini mamlaka......."
Usisahau shetani ana mamlaka yakeImeandikwa "Tiini mamlaka......."
Unauliza mavi chooni, CCM na dola ndiyo walisimamia show yote hadi anatangazwa kuwa mshindi si uliona wote walikuwepo kwenye kutawazwa kwake.Unaambiwa jamaa alihonga hatari, hela alipata wapi?
YUDA ISKARIOTE soon atajinyonga ...!!!!!Mkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV
Karibu mkuu kwenye dini zetu za asili.Naanza kuabudu mizimu
Watu wa hivi wakiniquote Huwa najiskia vibaya sanaHawakushibana, washibane nini? Kama ni ukabila mbowe na Askofu Shao kwao kumoja. Bagonza is was a conman, nadhani wana ka agenda ka ushoga kama walivyokumbatiana siku ile madhabahuni na Tundu wakati wa campaign.
Dora GwajimaDora
Kwa hiyo naye ni CHAWA wa mama?Mkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV
KKKT kama BAKWATA sasaMkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV
Siyo kila mamlaka.Imeandikwa "Tiini mamlaka......."
Mkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Alex Malasusa amesema alipochaguliwa tu Muumini mmoja alimtumia salamu za pongezi na kusema " mitaani Watu wanasema wewe uko Karibu sana na Serikali"
Askofu Malasusa amesema hawezi kukataa ukaribu wa na Serikali kwa Sababu hukulelewa kwenda Kinyume au kutoitii Serikali
Askofu Malasusa amesema Hayo mbele ya viongozi wakuu wa Serikali na mihimili ya DOLA yaani Rais Samia, Spika Dr Tulia, JM Prof Juma, Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi, Waziri wa mambo ya Ndani na RC Chalamila
Source Upendo TV
Hivi huyo Malasusa anaweza kutawala kwa muda gani?Chaguo letu walutheri lilikuwa dr.benson bagonza ila wakafanya Yao baada ya kuona TEC wanapeleka moto Sasa dhehebu la pili kwa waumini wengi ilibidi lishikiriwe kwa namna yoyote na mkumbuke Dr.Bagonza na kadinali Rugambwa ni marafiki walioshibana fikiria huo moto
Mwingine kwenye kundi hilo ni Askofu GamanywaAskofu Malasusa, Kadinali Mstaafu Polycarp Pengo, Sheikh Alhad Mussa Salum na wengineo wengi; huwa hawafichi mahaba yai kwa chama cha Mapinduzi.
Kwa hiyo hakuna jipya hapo. Kitambo sana anafahamika yeye ni nani linapokuja suala lihusulo ccm na serikali yake.
Miaka minneHivi huyo Malasusa anaweza kutawala kwa muda gani?
Mwumini aliyemoigia simu ni mbowe, hakuhudhuriavile harambee ya ujenzi kanisaKKKT kama BAKWATA sasa