Askofu Malasusa ataisambaratisha KKKT

Askofu Malasusa ataisambaratisha KKKT

Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali

Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo

Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC

Bahati mbaya kule KKKT hakuna mfumo mzuri wa mgawanyo wa uongozi

Hivyo anaweza kujitokeza mtu mwenye nia ovu akatumia pesa akachaguliwa kuwa askofu

Malasusa amekaa kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa not otherwise

Kitakachotokea ni KKKT kupasuka vipande vipande
Dini ni vitengo vya serikali.

Imani ya kweli hauipati kwenye dini
 
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali

Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo

Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC

Bahati mbaya kule KKKT hakuna mfumo mzuri wa mgawanyo wa uongozi

Hivyo anaweza kujitokeza mtu mwenye nia ovu akatumia pesa akachaguliwa kuwa askofu

Malasusa amekaa kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa not otherwise

Kitakachotokea ni KKKT kupasuka vipande vipande
Siamini Hilo litatokeaa pmj na kutumika na jiwe na Sasa serkali sioni akipazua kkkt yet

Hata ktk kipindi kile Cha kuongoza aliongoza vzr tu tumpe.muda Kama analichezeaa kanisa mungu atampiga pigo takatifu Muda utasema
 
Uzuri wa KKKT wanapokezana Pro CDM na Pro CCM kuongoza.
 
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali

Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo

Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC

Bahati mbaya kule KKKT hakuna mfumo mzuri wa mgawanyo wa uongozi

Hivyo anaweza kujitokeza mtu mwenye nia ovu akatumia pesa akachaguliwa kuwa askofu

Malasusa amekaa kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa not otherwise

Kitakachotokea ni KKKT kupasuka vipande vipande
Huwezi pambana na TEC ukabaki salama mana lile kanisa hata marekani imeshanyoosha mikono papa aongoze Dunia yote. Hili ni kanisa la mungu mungu mwenyewe ukipmbana nalo unakufa tena kifo Cha aibu kama t.b joshua
 
Nimeamini kanisa ni Moja tu ambalo ni RC ambalo halitikiswi na mtu, taasisi wala Serikali. Ni kanisa ambalo hata likiwa na mamluki kama Malasusa hawezi kufanya chochote kilicho nje ya utaratibu wa Kanisa. RC ni kanisa halisi lililochimbiwa mizizi yake na Kristo Yesu Mwenyewe.

Tofauti na KKKT na haya mengine ya miradi ya watu binafsi kujipatia Maokoto. Haya mengine unakuta Askofu au mchungaji ni mkubwa kuliko kanisa, haya mengine Askofu au mchungaji anaweza kuitwa chemba na kupewa dili.
Roman Catholic bosi wake yupo Rome anaitwa Pope .
 
Wakati alipochaguliwa tu kuna uzi fulani hivi nakumbuka nilichangia kwa kusema huyu Askofu ni CHAWA wa ccm! Na hivyo hakuna Mtumishi wa Mungu hapo!

Kuna muumini wake mmoja aliumia sana. Wakati nilichosema kina ukweli kwa %.
Pamoja na uchawa na ukada wake wa CCM huyu pia ni afisa kipenyo. Maaskofu wa KKKT waliomchagua tena huyu shushushu kuliongoza Kanisa hawakuwatendea haki waumini wao.
 
Nimeamini kanisa ni Moja tu ambalo ni RC ambalo halitikiswi na mtu, taasisi wala Serikali. Ni kanisa ambalo hata likiwa na mamluki kama Malasusa hawezi kufanya chochote kilicho nje ya utaratibu wa Kanisa. RC ni kanisa halisi lililochimbiwa mizizi yake na Kristo Yesu Mwenyewe.

Tofauti na KKKT na haya mengine ya miradi ya watu binafsi kujipatia Maokoto. Haya mengine unakuta Askofu au mchungaji ni mkubwa kuliko kanisa, haya mengine Askofu au mchungaji anaweza kuitwa chemba na kupewa dili.
RC ule ni msitu wa Amazon,ukijaribu kuvuka utokee ng'ambo ya pili ujaliwa na Jaguar au kumezwa na nyoka Anakonda basi wewe una Mungu makubwa sana!
 
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali

Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo

Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC

Bahati mbaya kule KKKT hakuna mfumo mzuri wa mgawanyo wa uongozi

Hivyo anaweza kujitokeza mtu mwenye nia ovu akatumia pesa akachaguliwa kuwa askofu

Malasusa amekaa kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa not otherwise

Kitakachotokea ni KKKT kupasuka vipande vipande
Ashafumaniwaga sana yule, sjui karudije pale juu
 
Malasusa hajachaguliwa na kanisa amechaguliwa na Serikali

Hakuna asiyejua Malasusa ni member wa kaunda suti kule kitengo

Safari hii amewekwa na mamlaka kuisadia Serikali na kupambana na TEC

Bahati mbaya kule KKKT hakuna mfumo mzuri wa mgawanyo wa uongozi

Hivyo anaweza kujitokeza mtu mwenye nia ovu akatumia pesa akachaguliwa kuwa askofu

Malasusa amekaa kisiasa kwa manufaa ya wanasiasa not otherwise

Kitakachotokea ni KKKT kupasuka vipande vipande
Binafisi nimehama KKKT tangu huyu mzee awe Askofy mkuu, Huyu ni zaidi ya ya hata Mufit wa BAKWATA yaani afadhali hata Mufit anaficha ficha, unazi wake, ika Malasusa yuko live bila chenga.
 
Hapana Mtazamo wa Malasusa na Mkewe sio mtazamo wa wakristo KKKT subir utaona.
 
Back
Top Bottom