Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
unaona sasa acha mihemko ndugu......... hebu tukanishie kuwa hawafanyi mauchafu mi nina meseji za mtu wa juu kabisa wa mungu ananitongoza na anataka kunikatia tiketi ya ndege nimfwate kusini mwa tanzania aka............. kuwa makini sana na hawa watu sisemei kwenye magazeti .. na pia nikuulize tu hujawahi ons sikia ama jua kuwa hawa majamaa wamelawiti?Una ushahidi, walitembea na mkeo ukawakamata au magazeti ya udaku yanakupa taarifa. USHAHIDI USIO NA MASHAKA