Wakati nchi ikizidi kuyumba kwa ombwe la uongozi,Askofu msaidizi wa jimbo la bukoba amepigilia msumari kwenye kidonda kwa kusema kuwa kwa sasa kwa jinsi hali ya nchi ilipofikia Tanzania inahitaji rais kama paul kagame ili kuinusuru nchi,amedai kuongoza kwa 'mkono wa chuma' ndiko kunaweza kulinusuru taifa kwa sasa, na mtu sahihi kwa kuongoza ni lazima awe na uwezo kama kagame ambaye ni rais wa Rwanda.
Askofu huyo, alisema tatizo kubwa linaloikabili Tanzania wakati huu, ni kumpata kiongozi ajaye atakayekuwa tayari kufa kwa ajili ya kuwashughulikia mafisadi bila kuwaonea huruma, huku akisisitiza kuwa Rais Kagame wa Rwanda ni mfano wa viongozi wanaohitajika sasa kuiongoza Tanzania.
Kauli Kikwete ni changuo la Mungu
Akizungumzia kauli yake aliyowahi kuitoa mwaka 2005 kwamba mgombea urais kupitia CCM Rais Jakaya Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu , Askofu Kilani alifafanua kwamba alichosema ni kwamba, ‘Sauti ya watu ni sauti ya Mungu,' kwani mgombea huyo alikuwa amechanguliwa na watu kwa asilimia 80, alichomaanisha ni kwamba mgombea huyo amekubalika na watu.
maoni yangu:
kwanza kwa mara ya kwanza namuunga mkono askofu kilaini kwa kauli hii,nchi kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kwa atakayepinga kwa hali ambayo taifa limefikia naamini kuwa atakuwa mmoja wa wale ambao wanalimaliza taifa hili au ni mtu asiye na uwezo wa kutambua jema na baya.
Nawasilisha.
Askofu huyo, alisema tatizo kubwa linaloikabili Tanzania wakati huu, ni kumpata kiongozi ajaye atakayekuwa tayari kufa kwa ajili ya kuwashughulikia mafisadi bila kuwaonea huruma, huku akisisitiza kuwa Rais Kagame wa Rwanda ni mfano wa viongozi wanaohitajika sasa kuiongoza Tanzania.
Kauli Kikwete ni changuo la Mungu
Akizungumzia kauli yake aliyowahi kuitoa mwaka 2005 kwamba mgombea urais kupitia CCM Rais Jakaya Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu , Askofu Kilani alifafanua kwamba alichosema ni kwamba, ‘Sauti ya watu ni sauti ya Mungu,' kwani mgombea huyo alikuwa amechanguliwa na watu kwa asilimia 80, alichomaanisha ni kwamba mgombea huyo amekubalika na watu.
maoni yangu:
kwanza kwa mara ya kwanza namuunga mkono askofu kilaini kwa kauli hii,nchi kwa sasa imefikia hatua mbaya sana kwa atakayepinga kwa hali ambayo taifa limefikia naamini kuwa atakuwa mmoja wa wale ambao wanalimaliza taifa hili au ni mtu asiye na uwezo wa kutambua jema na baya.
Nawasilisha.