kilio changu pia ni kwa wananchi wetu ambao wanadhani kutofanya kazi na kwenda ktk makanisa basi maisha yatanyoka. Jamani tuwaelimishe kwa sababu wanadanganywa sana na akina kakobe.
Simulations nyingi zinawarubuni watu na kudhani kila kinachohubiriwa na hawa watu ni kweli.
Simulations nyingi zinawarubuni watu na kudhani kila kinachohubiriwa na hawa watu ni kweli.