Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 886
Namkumbuka Daniel, alivyofanyiwa hila Na Viongozi. Walijua ataingia mtegoni tu. Namkumbuka Yeremia Alivyo onewa kwasababu ya Wito wake, alipaza sauti Juu ya utawala dhalimu, naye akawekwa kifungoni ili asiongee, lakini Hakuweza kukaa kimya. Namkumbuka Yesu alivyomwita Mfalme herode "MBWEHA" . Kama Tawala zote zimewekwa Na Mungu. Basi lazima Madhabahu itaongea tu, ata ikichomwa moto.
NAKUOMBA POPOTE ULIPO GWAJIMA COME PLS...NJOO BABA UUNGE HII CHAIN ILI TUENENDE NA UPEPO HUU MZURI WENYE NEEMA YA BWANA...YANI HATUONGEI LOLOTE....
Zaidi Kuelekeza akili na nguvu zetu katika kutulia nakutumaini...na Mashangilio.
NAKUOMBA POPOTE ULIPO GWAJIMA COME PLS...NJOO BABA UUNGE HII CHAIN ILI TUENENDE NA UPEPO HUU MZURI WENYE NEEMA YA BWANA...YANI HATUONGEI LOLOTE....
Zaidi Kuelekeza akili na nguvu zetu katika kutulia nakutumaini...na Mashangilio.