Askofu Kakobe amesimamia neno

Askofu Kakobe amesimamia neno

Namkumbuka Daniel, alivyofanyiwa hila Na Viongozi. Walijua ataingia mtegoni tu. Namkumbuka Yeremia Alivyo onewa kwasababu ya Wito wake, alipaza sauti Juu ya utawala dhalimu, naye akawekwa kifungoni ili asiongee, lakini Hakuweza kukaa kimya. Namkumbuka Yesu alivyomwita Mfalme herode "MBWEHA" . Kama Tawala zote zimewekwa Na Mungu. Basi lazima Madhabahu itaongea tu, ata ikichomwa moto.

NAKUOMBA POPOTE ULIPO GWAJIMA COME PLS...NJOO BABA UUNGE HII CHAIN ILI TUENENDE NA UPEPO HUU MZURI WENYE NEEMA YA BWANA...YANI HATUONGEI LOLOTE....

Zaidi Kuelekeza akili na nguvu zetu katika kutulia nakutumaini...na Mashangilio.

MAKAMANDA.

20171229_211542.png



20171229_211610.png
 
Hayo ni mawazo yake hauna haja ya kutukanana. Mimi pia sipendi kumfananisha mtu yoyote ktk biblia na amabye hajamaliza mwendo. Pia ktk biblia kila mtume nabii au mtumishi alikuwa na madhaifu na ubora ukiondoa Yesu pekee. Kuna manabii walikimbia wanawake kwa hofu tuu ya kifo. Je akitokea mtu Leo haogopi kufa atalinganishwa kumzidi yule nabii ? Hasha haitawezekana huo upinganifu utakuwa batili. Kila mtu na karama na kibali chake. Utakuta anaweza tokea mwingine akongea kama Kakobe lakini mwitikio ukawa tifauti kwa jamii na kwa serkali.
Msiishie kumlaumu mtukanaji,
Jifunzeni kuona picha iliyo nyuma ama upande wa pili wa watanzania,
Watu wanachuki kubwa mioyoni,
Chuki ambayo kimsingi inachochewa sana serikali,ilianza bungeni mkanyanyasa wawakilishi wa watu,na sasa mmeingia uraiani mnaminya na kutisha watu,mnachofanya ni sawa na kuziba exhaust valve ya mashine halafu mashine inalipuka mnaanza kulalama,kubana watu,kutisha watu,kunyima Uhuru wa kukosoa ni sawa na kuziba exhaust valve ya mashine ukategemea itadumu,
Acha mtukanwe ni sahihi maana mmejaa utumwa,
 
Msiishie kumlaumu mtukanaji,
Jifunzeni kuona picha iliyo nyuma ama upande wa pili wa watanzania,
Watu wanachuki kubwa mioyoni,
Chuki ambayo kimsingi inachochewa sana serikali,ilianza bungeni mkanyanyasa wawakilishi wa watu,na sasa mmeingia uraiani mnaminya na kutisha watu,mnachofanya ni sawa na kuziba exhaust valve ya mashine halafu mashine inalipuka mnaanza kulalama,kubana watu,kutisha watu,kunyima Uhuru wa kukosoa ni sawa na kuziba exhaust valve ya mashine ukategemea itadumu,
Acha mtukanwe ni sahihi maana mmejaa utumwa,
Asante rafiki Ubarikiwe mno
 
Asante rafiki Ubarikiwe mno
Watumwa wakubwa hawa,Beni alitutukana mkaufyata,
Tendeni haki,
Tusi ni tusi likitukanwa na yyte,tukivurumisha makavu ss mnatuita wavuta bangi,Mara viroba,wakivurumisha matusi mabwana zenu mnaishia kupiga makofi,
Nguvu ya wanaume wa bongo IPO juu ya wanawake zao,lkn kwa wanaume wenzao ni utumwa mtupu,
Tukitaka heshima tuanze kutenda haki
Nyeusi tuseme nyeusi,nyeupe tuseme nyeupe,
Matusi mangapi yanatukanwa na mnaowatumikia na hamkosoi,?
 
Asante rafiki Ubarikiwe mno
Lione! Ukianzisha mada kubali na mawazo mbadala siyo wale tu wanaokubaliana nawe. Vinginevyo weka disclaimer kwenye title ya post yako kuwa mawazo mengine hayaruhusiwi. Fala mkubwa !!!
 
Back
Top Bottom