Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,336
- 24,232
Askofu Gwajima tulikutuma kutatua matatizo ya barabara za lami, viwanja kupimwa na kurasimishwa, huduma za kijamii kuboreshwa na mengine mengi. Barabara yangu bado haijawekwa lami na ndio kilio changu miaka yote.
Sasa Askofu Gwajima unademka na ngoma ya chanjo na covid! Tunajua fika uwezo wako mdogo kisayansi unavyokuumbua.
Katiba kwa kweli ingebadilishwa ili tumtoe mbunge aliyejisahau majukumu yake.
Sasa Askofu Gwajima unademka na ngoma ya chanjo na covid! Tunajua fika uwezo wako mdogo kisayansi unavyokuumbua.
Katiba kwa kweli ingebadilishwa ili tumtoe mbunge aliyejisahau majukumu yake.