PostGE2025 Askofu Gwajima ni kiboko, kawapiga chenga sasa wameomba poooh

PostGE2025 Askofu Gwajima ni kiboko, kawapiga chenga sasa wameomba poooh

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nyie huyu gwajima sio jasusi kweli?, amewezaje kuwatoa Jasho polisi na watekaji hadi sasa hawajui alipo, huu msamaha ni mtego wamnase tu ila najua gwaji boy ni mjanja kashawasoma kitambo sana.

Kila wakitageti location inasoma dar somewhere wakifika mamba hayupo location inasoma uyole ,mbeya hahahaha
It was not for free.. Money talk..!
 
Nyie huyu gwajima sio jasusi kweli?, amewezaje kuwatoa Jasho polisi na watekaji hadi sasa hawajui alipo, huu msamaha ni mtego wamnase tu ila najua gwaji boy ni mjanja kashawasoma kitambo sana.

Kila wakitageti location inasoma dar somewhere wakifika mamba hayupo location inasoma uyole ,mbeya hahahaha
Chawa hawawezi kumkamata chawa mwenzao kama gwajima tapeli la kunuka
 
Hivi wakisema Lissu nae awe out now, set him free itakuaje? huenda wakapunguza mizuka ya ma gen z. Wamuachie na Lissu akafanye shughuli zake za siasa na chama chake cha CHADEMA. Si ndio maridhiano yenyewe yanakotakiwa kupita na huko? Huko ndiko kwenyewe hasa to the maxmum let Lissu free. pengine huu upepo mkali unaovuma utapungua kasi yake katika siasa za nchi hii kwa wakati huu
 
Gwaji boy analindwa na mfumo. Hii kitu lazima mtu ang’olewe. dkt Samia Alikuwa mbishi, sisi wazalendo tulimpa hint zote namna ya kufanya alinde kiti chake akashupaza shingo, kwa ujumla JF ndiyo pahala pekee Kiongozi anaweza kujua namna ya kuongoza nchi. Sasa hivi kila mwenye kutaka kuiongoza Tanzania anataka Dkt Samia afe ili arundikiwe mizigo yote ya mauaji mpaka ya Dkt Magufuli, wakati enzi zile tunamuonya Mama omboleza achana na mambo ya kutaka kugombea, haya tukamjulisha Mama ukigombea huo ni mtego watakuua maana hawapendi uendelee maana haukuwa kwenye ratiba hahahah ila sasa kila sehemu mpaka wananchi masikini wanasubiri dkt samia afe washangilie kisa kaua vijana. Yaani kama huwa anapita JF na kusoma na hajabadilika basi ajue ndiyo hivyo
MFUMO ZAIDI YA JK ni nani mwingine ?
 
Hivi wakisema Lissu nae awe out now, set him free itakuaje? huenda wakapunguza mizuka ya ma gen z. Wamuachie na Lissu akafanye shughuli zake za siasa na chama chake cha CHADEMA. Si ndio maridhiano yenyewe yanakotakiwa kupita na huko? Huko ndiko kwenyewe hasa to the maxmum let Lissu free. pengine huu upepo mkali unaovuma utapungua kasi yake katika siasa za nchi hii kwa wakati huu
ningekuwa mimi lisu ningemwachia halafu njiani natengenezea ajali mbaya na kumwua kwa sumu ana kelele sana, yeye na heche
 
ningekuwa mimi lisu ningemwachia halafu njiani natengenezea ajali mbaya na kumwua kwa sumu ana kelele sana, yeye na heche
mnawewesuka bure na wale wajuba, kina Lissu na Heche siasa zao na chama chao wameishapitwa na wakati kwa sasa hawana ushawishi kwa vijana. Vijana wameamua kufanya mageuzi yao wenyewe bila kutegemea chama cha siasa kiwapambanie kuleta reforms
 
ningekuwa mimi lisu ningemwachia halafu njiani natengenezea ajali mbaya na kumwua kwa sumu ana kelele sana, yeye na heche
Mwenyezi Mungu akujalie upate ajali mbaya. Amiin
 
Polisisiemu wamemuabia vitu vyake na pesa kwenye shelf pale kanisani walipokuwa wanalinda jumla ya thamni zaidi ya bilioni 2 na ushee.
 
Hivi wakisema Lissu nae awe out now, set him free itakuaje? huenda wakapunguza mizuka ya ma gen z. Wamuachie na Lissu akafanye shughuli zake za siasa na chama chake cha CHADEMA. Si ndio maridhiano yenyewe yanakotakiwa kupita na huko? Huko ndiko kwenyewe hasa to the maxmum let Lissu free. pengine huu upepo mkali unaovuma utapungua kasi yake katika siasa za nchi hii kwa wakati huu

Lissu akiwa out ataendelea alipo ishia lazima waogope
 
mnawewesuka bure na wale wajuba, kina Lissu na Heche siasa zao na chama chao wameishapitwa na wakati kwa sasa hawana ushawishi kwa vijana. Vijana wameamua kufanya mageuzi yao wenyewe bila kutegemea chama cha siasa kiwapambanie kuleta reforms
Kama wangekuwa hawana ushawish serikal isinge hangaika kuwapa kesi, kuwakama hovyo kuwasingizia wao ndio chanzo cha maandamano
 
Samia Alikuwa mbishi, sisi wazalendo tulimpa hint zote namna ya kufanya alinde kiti chake akashupaza shingo, kwa ujumla JF ndiyo pahala pekee Kiongozi anaweza kujua namna ya kuongoza nchi. Sasa hivi kila mwenye kutaka kuiongoza Tanzania anataka Dkt Samia afe ili arundikiwe mizigo yote ya mauaji mpaka ya Dkt Magufuli, wakati enzi zile tunamuonya Mama omboleza achana na mambo ya kutaka kugombea, haya tukamjulisha Mama ukigombea huo ni mtego watakuua maana hawapendi uendelee maana haukuwa kwenye ratiba hahahah ila sasa kila sehemu mpaka wananchi masikini wanasubiri dkt samia afe washangilie kisa kaua vijana. Yaani kama huwa anapita JF na kusoma na hajabadilika basi ajue ndiyo hivyo
Kiburi sana... sikuhizi kawa nunda jambazi sugu
 
mnawewesuka bure na wale wajuba, kina Lissu na Heche siasa zao na chama chao wameishapitwa na wakati kwa sasa hawana ushawishi kwa vijana. Vijana wameamua kufanya mageuzi yao wenyewe bila kutegemea chama cha siasa kiwapambanie kuleta reforms

Wasingekua wanahangaika kuwakamata day n night.
 
Back
Top Bottom