PreGE2025 Askofu Gwajima: Mtu akinichokoa chokoa, nitasema vitu utatoka moshi huwezi kufungua Macho

PreGE2025 Askofu Gwajima: Mtu akinichokoa chokoa, nitasema vitu utatoka moshi huwezi kufungua Macho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Lazima iandaliwe warsha yoyote ili Bi mkubwa Ajibu
Kwani mpaka warsha?

Ama hiyo ndiyo fasheni ya watawala?

Maana hata Nyerere alikuwa hatolei matamko Ikulu!

Ilikuwa mpaka asafiri kwanza ziara, huko huko ndiko anaenda kupakazia!

Sasa na huyu naye, mpaka warsha tena ndiyo apate spark ya kutoa ya moyoni.
Kuitisha press tu Ikulu hawezi, dah!
 
TCRA wasiingilie kati kuubeba upande mmoja
Hujui Mkurugenzi wa hicho chombo ni Askari katika Genge la Samia?
Kawekwa hapo kwa sababu hiyo moja tu ya kuhakikisha chombo hicho kinatumika ipasavyo kutimiza lengo la Samia kubaki kwenye madaraka, kwa njia yoyote ile, hata ya kuua waTanzania.

Huoni sasa hao TCRA wanavyohaha kuzima habari zote zinazomsema vibaya Samia?
 
Shida ya Hadija Kopa anafikiri kila mtu ni mzembe kama Job!! Yaani unamchamba mpaka anachanganyikiwa! Kumbe watu wengine ni vivuruge!
Rashid hajawahi kupoteza 😂😂😂 alisimama na bashite, bashite akawa anakimbia kimbia kuombewa....leo akiombewa na mchungaji kesho na sheikh.

Jamani mtu aandae kishughuli basi mama Lucas aalikwe akatoe kijembe iitwe press namba mbili
 
Huyo bwege Samia anamchekea atakuja kujuta, Rais anakwama wapi? Km hawezi kutumia madaraka yake aachane na urais. Wakati wa Magu angejaribu ht kukohoa? Inajulikana kabisa anamshambuliabRais, anamtishia Rais, hapambani na mtu mwingine ni Samia, kila anachosema anamlenga Rais, hiyo press itaachiwa tena ifanyike? Siamini itafika wakati nchi haitawaliki
Kwani Enzi za Magu vita yake na bashite ilimlenga nani?

Usijidanfanye unadhani Gwajima ni sawa na ww!
 
Back
Top Bottom