"Nilipoongea nanyi tarehe 24|5|2025 nilipoanza hoja ya utekaji umezidi katika nchi nilitoa takwimu iliyotoka TLS-Tanzania law society ya watu waliokuwa wametekwa au kupotea, wengine kupatikana na wengine kuokotwa wakiwa wamekufa na sasa ni almsot miezi mitano baadaye utekaji umeendelea umekuwa wa kutisha sasa, sasa siyo utekaji tena umekuwa uchukuaji au uvunaji. Imekuwa sasa ni kama mtu anavyochukua kuku kwenye banda la kuku wakati wowote, saa yoyote kwa naman ayoyote."- Amesema Askofu Gwajima