YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
UNGEISHI WAKATI WA YESU UNGEKELEKA SANA MAANA ALIKUWA ANACHANA KWEUPE MAADAMU NI HAKI NA UKWELI. NA SIJUI KWA NINI UNACHUKIA UKWELI?.
Kwani huyo Askofu ni YESU?
UNGEISHI WAKATI WA YESU UNGEKELEKA SANA MAANA ALIKUWA ANACHANA KWEUPE MAADAMU NI HAKI NA UKWELI. NA SIJUI KWA NINI UNACHUKIA UKWELI?.
Ukweli unaosemwa unatakiwa kusemwa ukiambatana na ushahidi unaposema.Askofu kuibuka tu na kusema serikali iache kuwapangia bila kuambatanisha ushahidi anapokuwa anaongea hayo si sahihi.Alitakiwa afafanue na atoe vielelezo vya ushahidi pia.Huo ndio ukweli unaotakiwa kusikiwa iwe hadharani au sirini .
Ukweli unaosemwa unatakiwa kusemwa ukiambatana na ushahidi unaposema.Askofu kuibuka tu na kusema serikali iache kuwapangia bila kuambatanisha ushahidi anapokuwa anaongea hayo si sahihi.Alitakiwa afafanue na atoe vielelezo vya ushahidi pia.Huo ndio ukweli unaotakiwa kusikiwa iwe hadharani au sirini .
Mbona unatokwa na povu sana?Ukweli unaosemwa unatakiwa kusemwa ukiambatana na ushahidi unaposema.Askofu kuibuka tu na kusema serikali iache kuwapangia bila kuambatanisha ushahidi anapokuwa anaongea hayo si sahihi.Alitakiwa afafanue na atoe vielelezo vya ushahidi pia.Huo ndio ukweli unaotakiwa kusikiwa iwe hadharani au sirini .
Hiyo sherehe ilikuwa ni ya uzinduzi wa Dayosisi.Hilo tukio haikuwa siku ya ngoma ya mdumange ya kuisuta serikali!!! Au sherehe ya mipasho ya taarabu ya kusuta serikali haikuwepo haja ya yeye kusema hivyo.
Askofu Shoo hakuwepo, sababu yeye ndiye kamanda mwandamizi kwa pande hizo.
Kwenye mambo ya ukweli mnaingiza siasa huu ujinga kabisaHawa maaskofu wa Lowasa hawa shida sana anazungumza ubwabwa tu.
Huyo mzee kajisahau, mbona hakukemea Lowassa alivyoomba kura kwa kanisa lake huko Tabora ama hakujua siasa na dini havichangaywi?
Viongozi wa hivi ni wanafiki na wa kupiga mawe.
Hataki serikali iziangalie dini ili zipate nafasi ya kuingiza ushoga? Huu ni upuuzi mkubwa sana
Hastahili kuwa kiongozi wa dini huyu kwasababu hajui nini maana ya diniHawa maaskofu wa Lowasa hawa shida sana anazungumza ubwabwa tu.
Kamuona Lowassa lazima aoneshe kuwa hela imekwenda sawiaUkweli unaosemwa unatakiwa kusemwa ukiambatana na ushahidi unaposema.Askofu kuibuka tu na kusema serikali iache kuwapangia bila kuambatanisha ushahidi anapokuwa anaongea hayo si sahihi.Alitakiwa afafanue na atoe vielelezo vya ushahidi pia.Huo ndio ukweli unaotakiwa kusikiwa iwe hadharani au sirini .
We we mnafki, kaisuta au kasema hawataki monitoring?Hiyo sherehe ilikuwa ni ya uzinduzi wa Dayosisi.Hilo tukio haikuwa siku ya ngoma ya mdumange ya kuisuta serikali!!! Au sherehe ya mipasho ya taarabu ya kusuta serikali haikuwepo haja ya yeye kusema hivyo.
Hivi huwa kuna maaskofu ktk makanisa mengine?!Mm huwa nadhani Roma Catholic pekee ndiyo huwa maaskofu wanao.Kama maaskofu wanalalamika hayo mambo ya maelekezo huenda yapo
Tunatumbau huyo na Askofu Shoo ndio makamanda lazima watetee maslahi.Huyu kiongozi nadhani anajua mipaka yake na ni mtu mwenye msimamo. Kiongozi wa dini haipaswi kuwa mnafiki kwani unaongozwa na roho mtakatifu. Mpeni ushirikiano
Mimi Ufipa!!!Wewe akili zako zimeshikiliwa lumumba