Ndio ukweli wenyewe, wametupa jicho wakaona 2020 mkate mkubwa upo CCM (watapewa kura hata za wizi washinde uchaguzi), na ile kauli ya mwenye nchi kwamba mkurugenzi akitangaza mpinzani kashinda hana kazi, kwa hali hiyo nani atabaki upinzani!.
Kuwa na viongozi wanaowaza matumbo yao wakati wote ni ngumu sana kufikia maendeleo ya kweli, mpaka washibe wao na familia zao ndio wakumbuke kumpelekea maendeleo mwananchi wa kawaida.
Mahakama inahusika kubariki wakurugenzi kuiba kura. Ibrahim Juma utalaaniw na vizazi vyote vijavyo kwa kuwa Jaji Mkuu dhaifu na mwoga mnafiki kuliko wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.