PreGE2025 Askofu Bagonza: Sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe, kama ana imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache

PreGE2025 Askofu Bagonza: Sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe, kama ana imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.

1742567403971.png
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.
Huyu ndio askofu, hao wengine na manabii, mitumie, nk ni wachumia tumbo na machawa TU!
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.
Bila shaka mtu Mwenye akili kamuelewa Askofu 😆
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.
Uchaguzi wa watu kujichagua......ni wa hovyo sana
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt Benson Bagonza anazungumzia mchakato wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura:

Kila Mtu anatakiwa kujihoji kisha amuulize Mungu baada ya hapo atafanya maamuzi, Mwaka 2024 nilipogundua Watu wanazembea kujiandikisha wakiaminia wakipiga kura zitaibiwa, nikawaambia wajiandikishe ili wanaotaka kuiba wapate cha kuiba.

Hivyo, wakati huu sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe au la, kama na imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache.
Labda kupata ID ya Kura ....ajili ya utambulisho huko.mbele.....but sio kupiga kura
 
Back
Top Bottom