mnyalilungulu
Senior Member
- Sep 27, 2019
- 170
- 114
hivi waga anaandika wapi ana akaunti social media??
Kama anavyowashwa washwa baba yako mzazi...eti?????Huyu anayejiita askofu agombee ubunge tuu huko aliko anaiba sadaka za waumini tuu maana anawashwa washwa sana na siasa. Yaani nawaona huruma hao waumini wao.
Ngoja nikuulize sawali dogo tu, ni kwanini huyo Katibu mkuu alisema wazi kuwa wao CCM hawatakubali yaliyowapata KANU ya Kenya na UNIP ya Zambia........Mkiambiwa watu wagumu kuelewa mnapanik kisa tu kaongea mtu anae ipongeza ccm hakuna sehem amesema kwamba kwa kutumia dola watatawala milele ila kasema kwa kutumia dola atafanya mambo mengi Mazur IL ccm ibak madarakan hata kama kusema atatumia dola hakwenda moja kwa moja kwamba hata kwenye uchaguz dola ndio inaamua Nan apite wapinzani izi sio hoja za kuwaokoa tafuten NJIA ambayo itawasaidien
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachache wenye madaraka wanaamua kutumia vyombo vya dola kulinda vyeo vyao kupitia mgongo wa chama tawala.Ningekuwa mimi ni katibu mkuu nisingesema hayo maneno. Hata kama Askofu asingesema alichosema, wengi tuna ufahamu wa kutosha sana.
Kilichopo ni kuwaona raia hawana wanachoweza kuwaza wala kutenda.
Unajiuliza, kwanini aseme hivyo? Asingesema angepoteza nini? Alichokisema kinamsaidia nani hasa sasa na hapo baadaye?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndiyo hasara ya viongozi waropokaji wa awamu hii, hawapimi kwanza hata athari ya kauli zao. Hata yale mambo ya sirini huropoka tu kutokana na ulevi wa madarakani. Hongera Dk. Bagonza kwa kuliona jambo hili lenye ukakasi mwingi na kulitolea kauli iliyojaa hekima nyingi sana.Anaandika Baba Askofu Dk Bagonza kutokea Dayosisi ya KKKT Karagwe Kagera.
Dr. BASHIRU NA MATUMIZI YA DOLA.
Duh!! Najua hili limegusa sana. Kila gazeti litaandika na sisi "mashabiki waandamizi" hatukosi cha kuchangia. Dr. Bashiru ni mtu makini, hawezi kukosa ufafanuzi. Anapojiandaa kufanya hivyo, ajue matamshi yake yanaweza kumaanisha moja ya haya au yote kwa pamoja:
1. Wapiga kura hawaamui mshindi, dola ndiyo inaamua ( Wananchi mpige kura, msipige, mtupatie kura au mtunyime, haisaidii lolote).
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo huru na haina lolote. Dola ndiyo inaamua mshindi.
3. Chama tawala hakina uwezo kuliko dola na hakishiki hatamu. Dola ndiyo imeshika hatamu.
4. Dola haina uhuru wa kujiamulia, bali inaagizwa na chama tawala (inatumiwa).
5. Hata wabunge na madiwani wa upinzani walioshinda, ni kwa fadhila za dola.
6. Tunapoteza raslimali kuendesha uchaguzi uliokwishaamuliwa na dola.
7. Kwa kuwa dola ndiyo inaamua, siku ikiamua vinginevyo, chama tawala kitaondoka madarakani.
Naamini sivyo alivyomaanisha lakini masikioni ndivyo alivyosikika. Kuna haja ya kujisikiliza kabla hujasikilizwa.
KARLO MWILAPWA, kama unaamini Dr Bashiru hakueleweka vizuri, mshauri hasiwe anaongea na watanzania kama alivokua anafunsisha wanafunzi wake pale UD asitumie nadharia za kitaaluma ilihali akijua anaongea na watanzania wenye elimu na wasio na elimu.Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:
1. Hajamuelewa katibu mkuu
2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha
3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.
Ili kujua hayo matatu:
1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo
2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa
3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua
Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Pamoja na usomi wake Dr Bashiru has stooped too low,hawajiamini na hawaheshimu maamuzi ya wapiga kura.Ndiyo maana sasa wanaanza kukiri kuwa wanawanunua wapinzani,wameiteka Tume ya Uchaguzi,Polisi na Mahakama hivyo mpige kura au msipige haiwahusu.Wao ni washindi iwe mvua,liwe jua wanashinda kwa 99.9999%.Wanajiona bora kuliko Wananchi, wamelewa mvinyo wa damu za wapinzani wao.Anaandika Baba Askofu Dk Bagonza kutokea Dayosisi ya KKKT Karagwe Kagera.
Dr. BASHIRU NA MATUMIZI YA DOLA.
Duh!! Najua hili limegusa sana. Kila gazeti litaandika na sisi "mashabiki waandamizi" hatukosi cha kuchangia. Dr. Bashiru ni mtu makini, hawezi kukosa ufafanuzi. Anapojiandaa kufanya hivyo, ajue matamshi yake yanaweza kumaanisha moja ya haya au yote kwa pamoja:
1. Wapiga kura hawaamui mshindi, dola ndiyo inaamua ( Wananchi mpige kura, msipige, mtupatie kura au mtunyime, haisaidii lolote).
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo huru na haina lolote. Dola ndiyo inaamua mshindi.
3. Chama tawala hakina uwezo kuliko dola na hakishiki hatamu. Dola ndiyo imeshika hatamu.
4. Dola haina uhuru wa kujiamulia, bali inaagizwa na chama tawala (inatumiwa).
5. Hata wabunge na madiwani wa upinzani walioshinda, ni kwa fadhila za dola.
6. Tunapoteza raslimali kuendesha uchaguzi uliokwishaamuliwa na dola.
7. Kwa kuwa dola ndiyo inaamua, siku ikiamua vinginevyo, chama tawala kitaondoka madarakani.
Naamini sivyo alivyomaanisha lakini masikioni ndivyo alivyosikika. Kuna haja ya kujisikiliza kabla hujasikilizwa.
Baba yangu ndio kaandika huo usenge wa askofu wenu?
Mbona alitafsiri the same day..!Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:
1. Hajamuelewa katibu mkuu
2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha
3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.
Ili kujua hayo matatu:
1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo
2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa
3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua
Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:
1. Hajamuelewa katibu mkuu
2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha
3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.
Ili kujua hayo matatu:
1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo
2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa
3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua
Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Tunamshukuru Baba Askofu kwa kutonyamaza. Katika lindi la uvuli wa mauti wa wasiojulikana inakubidi ujikane kufanya afanyayo baba Askofu Bagonza. KUTOA MAWAZO YAKE. Mwenyezi Mungu amlinde. Tunakumbuka yaliyomkuta aliyekuwa anatoa mawazo yake yule mbunge ambaye hata kumtaja ni hatari mbele ya wasiojulikana maana Mwenyezi Mungu amewaumbua ushetani wao unaojulikana na malipo yake hawajayalipa badoAnaandika Baba Askofu Dk Bagonza kutokea Dayosisi ya KKKT Karagwe Kagera.
Dr. BASHIRU NA MATUMIZI YA DOLA.
Duh!! Najua hili limegusa sana. Kila gazeti litaandika na sisi "mashabiki waandamizi" hatukosi cha kuchangia. Dr. Bashiru ni mtu makini, hawezi kukosa ufafanuzi. Anapojiandaa kufanya hivyo, ajue matamshi yake yanaweza kumaanisha moja ya haya au yote kwa pamoja:
1. Wapiga kura hawaamui mshindi, dola ndiyo inaamua ( Wananchi mpige kura, msipige, mtupatie kura au mtunyime, haisaidii lolote).
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo huru na haina lolote. Dola ndiyo inaamua mshindi.
3. Chama tawala hakina uwezo kuliko dola na hakishiki hatamu. Dola ndiyo imeshika hatamu.
4. Dola haina uhuru wa kujiamulia, bali inaagizwa na chama tawala (inatumiwa).
5. Hata wabunge na madiwani wa upinzani walioshinda, ni kwa fadhila za dola.
6. Tunapoteza raslimali kuendesha uchaguzi uliokwishaamuliwa na dola.
7. Kwa kuwa dola ndiyo inaamua, siku ikiamua vinginevyo, chama tawala kitaondoka madarakani.
Naamini sivyo alivyomaanisha lakini masikioni ndivyo alivyosikika. Kuna haja ya kujisikiliza kabla hujasikilizwa.
Kwenye debate mawazo yako ni ya wale wanaotaka kuonekana kwamba wanapambanua mambo lakini ndani yake ni pumba tupuKuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:
1. Hajamuelewa katibu mkuu
2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha
3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.
Ili kujua hayo matatu:
1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo
2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa
3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua
Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Umesahau Bushiru alivyopindisha kuhusu Azory Agwanda.Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:
1. Hajamuelewa katibu mkuu
2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha
3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.
Ili kujua hayo matatu:
1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo
2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa
3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua
Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?