Askofu Bagonza: Hili la Dr Bashiru na matumizi ya Dola inamanisha Hata tukipiga tusipopiga kura bado dola itaamua nani mshindi

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Anaandika Baba Askofu Dk Bagonza kutokea Dayosisi ya KKKT Karagwe Kagera.

Dr. BASHIRU NA MATUMIZI YA DOLA.

Duh!! Najua hili limegusa sana. Kila gazeti litaandika na sisi "mashabiki waandamizi" hatukosi cha kuchangia. Dr. Bashiru ni mtu makini, hawezi kukosa ufafanuzi. Anapojiandaa kufanya hivyo, ajue matamshi yake yanaweza kumaanisha moja ya haya au yote kwa pamoja:

1. Wapiga kura hawaamui mshindi, dola ndiyo inaamua ( Wananchi mpige kura, msipige, mtupatie kura au mtunyime, haisaidii lolote).

2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo huru na haina lolote. Dola ndiyo inaamua mshindi.

3. Chama tawala hakina uwezo kuliko dola na hakishiki hatamu. Dola ndiyo imeshika hatamu.

4. Dola haina uhuru wa kujiamulia, bali inaagizwa na chama tawala (inatumiwa).

5. Hata wabunge na madiwani wa upinzani walioshinda, ni kwa fadhila za dola.

6. Tunapoteza raslimali kuendesha uchaguzi uliokwishaamuliwa na dola.

7. Kwa kuwa dola ndiyo inaamua, siku ikiamua vinginevyo, chama tawala kitaondoka madarakani.

Naamini sivyo alivyomaanisha lakini masikioni ndivyo alivyosikika. Kuna haja ya kujisikiliza kabla hujasikilizwa.

Pia soma > Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Roho wa mungu ndiyo keshamuelewesha Baba Askofu na yeye bila hiyana kaamua ku-share na sisi. Sijui unataka Roho wa CCM ndiyo amweleweshe ili atoe tafsiri unayotaka wewe!
 
Mungu mbariki Dr. Bashiru Alli kwa kuutangazia ulimwengu kuwa CCM siyo chama cha siasa tena bali ni genge la wachache wanaotumia mabavu ya dola kutawala. Ni dhahiri sasa kuwa hata uchaguzi ni kiini macho tu, ni dola ndiyo inaamua nani atangazwe mshindi na kamwe siyo matakwa ya wapiga kura yaamue nani ameshinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_1582080397242.jpg
    FB_IMG_1582080397242.jpg
    48.2 KB · Views: 1
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Jamaa unajidai na vi-point vyako vya ajabu ajabu sana, Bashiru katamka wazi; CCM inabebwa na dola, halafu wewe unasema kama Bashiru hajaeleweka aombwe aeleweshe?

Kuna kipi kigumu kwenye hiyo sentensi ambacho hakijaeleweka?! au wewe ndio unataka kuileta maana ambayo haipo, wacha utoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Utumbo
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Wewe umetumia kilevi gani hata ushindwe kuelewa Bashiru alimaanisha nini, hivi shule ulienda kusomea ujinga? Bashiru kaeleza wazi bila kupepesa macho na akatoa mfano wa KANU ya Kenya na UNIP ya Zambia kuwa walifanya uzembe kutototimia dola kubaki madarakani na walipotoka hawakurudi tena. Hakuishia hapo akamalizia kuwa kama kuna watu wanafikiri CCM itaacha kutumia dola kubaki madarakani basi watasubiri sana. Dogo hata ni huko kujipendekeza umezidi sasa hii kitu iko wazi kabisa. CCM UNATUMIA MABAVU YA DOLA KUTAWALA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Hivi watanzania wote hatujamuelewa kwa kuwa ni mambumbumbu na wewe ndo mwelewa zaidi.Acha hizo.hata vyombo vyote vya habari havijamwelewa pia?Terrible.alichokiongea ndicho alichomainisha na ndo ukweli wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?

Soma nukuu ya mwisho ya Askofu. Na katoa premises saba kujaribu kuitazama kauli ya Katibu mkuu...Hivyo unarudia kile kile alichotaka kufahamu Askofu...maana aya ya kwanza kasema Katibu yuko makini na anao ufafanuzi wa kauli yake.

Tung'amue mambo, tusilewe kwa ushabiki kisa tunalipenda jambo au kitu
 
Endeleeni kuhadaiwa wakati wengine wanajipanga kwa ajili ya uchaguzi. Mwisho wa uchaguzi mtalalamika mmeibiwa wakati badala ya kujiandaa mmekomalia kutafsiri kila neno linalotamkwa na wengine. Na kwa taarifa yenu, wataendelea kuwakeep busy huku wao wanajiandaa. Tukutane baada ya uchaguzi.
 
Jamaa unajidai na vi-point vyako vya ajabu ajabu sana, Bashiru katamka wazi; CCM inabebwa na dola, halafu wewe unasema kama Bashiru hajaeleweka aombwe aeleweshe?

Kuna kipi kigumu kwenye hiyo sentensi ambacho hakijaeleweka?! au wewe ndio unataka kuileta maana ambayo haipo, wacha utoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu mwanachama mwenzangu wa CCM huw anajitututmuwa kweli, anastahili kuoneshwa fadhila sasa.
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Loh..huu ni ujumbe wa mwaka kwa huyu Mwanaharakati wa Kazi ya Mungu!!
 
Endeleeni kuhadaiwa wakati wengine wanajipanga kwa ajili ya uchaguzi. Mwisho wa uchaguzi mtalalamika mmeibiwa wakati badala ya kujiandaa mmekomalia kutafsiri kila neno linalotamkwa na wengine. Na kwa taarifa yenu, wataendelea kuwakeep busy huku wao wanajiandaa. Tukutane baada ya uchaguzi.
Ayaaaaaa...!! Mbona unauza mbinu??
 
Kuna matatu kuhusu Askofu, inawezekana:

1. Hajamuelewa katibu mkuu

2. Kamuelewa lakini kaamua kupotosha

3. Ni kweli Katibu mkuu ameeleweka Kama Askofu alivyomuelewa.

Ili kujua hayo matatu:

1. Katibu mkuu aombwe kutoa ufafanuzi wa kauli hiyo

2. Tusiwe wepesi kutafsiri tusivyoelewa

3.Tukubali kueleweshwa pale tusipojua

Kama Askofu kamuelewa Katibu mkuu na kaamua kupotosha: je, ni Nani anamtuma? Anamtuma kwa lengo gani? Kwa Nini kakubali kutumika hivi? Je Hana Roho wa Mungu wa kumfunulia ili aelewe?
Pumbafu usilazimishe watu waelewe au kutafsir kama unavyotaka wew.Bahati mbaya wew ni vuvuzera
 
Back
Top Bottom