Askofu afananisha Mawaziri mizigo na Shetani

Askofu afananisha Mawaziri mizigo na Shetani

Wamepatia.. Unategemea waziri kama Mwigulu afananishwe na malaika kweli?
 
Huyo askofu mwenyewe shetani watoto kila kona ya nchi halafu anasema haruhusiwi kuoa.
 
Huyo askofu mwenyewe shetani watoto kila kona ya nchi halafu anasema haruhusiwi kuoa.
haa haa, mkuu umegusa pabaya, kwa hiyo watoto mpaka uoe? Una utani na kina membe na pinda wewe, maana hao maaskofu ndo mabosi wao mkuu!
 
Duh, hapo kiongozi huyu wa kiroho amevuka mpaka! Kwa hiyo baadhi ya mawaziri wa jk ni mashetwani?
 
Huyo askofu mwenyewe shetani watoto kila kona ya nchi halafu anasema haruhusiwi kuoa.
Comrade, kabla ya kuanza kumrushia maneno ya kejeli Askofu, jaribu kwanza kuangalia source ya habari.

Gazeti la Nipashe kwa uandishi wa habari za kisiasa liko mapacha na Tanzania Daima.

Mantiki ya tamko la Maaskofu wa kanisa katoliki Tanzania ni tofauti kabisa na habari zilizoandikwa na vyombo vya habari ambavyo ni midomo ya chama kilichokuwa kinaitwa CHADEMA ambacho viongozi wake kwa sasa wamekimbilia kwenye mwanvuli wa kikundi kinachojiita UKAWA.
 
makanisa yamefutiwa misamaha ya kodi nini?maana maaskofu wanaropoka sana wiki hii.
 
Comrade, kabla ya kuanza kumrushia maneno ya kejeli Askofu, jaribu kwanza kuangalia source ya habari.

Gazeti la Nipashe kwa uandishi wa habari za kisiasa liko mapacha na Tanzania Daima.

Mantiki ya tamko la Maaskofu wa kanisa katoliki Tanzania ni tofauti kabisa na habari zilizoandikwa na vyombo vya habari ambavyo ni midomo ya chama kilichokuwa kinaitwa CHADEMA ambacho viongozi wake kwa sasa wamekimbilia kwenye mwanvuli wa kikundi kinachojiita UKAWA.
Bila kujali gazeti kama ni la ccm au CHADEMA au vyovyote vile, issue iko hivi! Askofu amesema au hakusema hayo maneno!?
 
Back
Top Bottom