Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,081
Je! wanazo nyumba za kutos heleza kuwaweka askari wote ndani ?
Suala la nyumba hoja ya msingi.Kama ametowa tamko hawajajiandaa utasikia tunaongeza miundombinu yao imeisha hiyo.Lakini wakiweza na nidhamu ya jeshi la polisi itaongezeka.Wale chapombe watabanwa.Je! wanazo nyumba za kutos heleza kuwaweka askari wote ndani ?
Kambini au mabatini?wajenge nyumba zenye hadhi ya kuitwa kambi,siyo hizi kama kambi za wavuvi.Jeshi la sasa siyo la zamani,mtu anakaa kambini wee hajui kulipa kodi wala maji,umeme,chumba kimoja hapo hapo baba mama watoto,akistaafu ndo anatoka kuona maisha ya nje hapo lazima achangayikiwe akistaafu.Huku wanapokaa wanajifunza ustaarabu,wakikaa kambini kazi kulewa tu na kuibiana wake.
Majengo yenyewe hana anafikiri watakaa wapi??!!Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.
Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Bila shaka watarudi makambini na familia zaoMkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.
Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Kwani Kambi hazipo,na zaidi Kuna usemi kuwa Kambi popote 🤔Kambi gani hizo
Ova
😂😂🤣🤣😅😅😆😆😁😁😄😃😀😀Watapigana risasi hawa kwa wivu wa kimapenzi.
Nibora kuliko adha wanayotuletea kama kule barabarani 🤔😂😂🤣🤣😅😅😆😆😁😁😄😃😀😀
Duh, labda hapoKwani Kambi hazipo,na zaidi Kuna usemi kuwa Kambi popote![]()
Kambini Muda Wote Roll CallNibora kuliko adha wanayotuletea kama kule barabarani 🤔
Vipi unaogopa kwani Kambi I Kuna himars🤸🤸Labda kambi ya Mikocheni na Kunduchi
Ila pale Msimbazi polisi hapana