Askari wote wanatakiwa kukaa kambini

Askari wote wanatakiwa kukaa kambini

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.

Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
Watakuwa wanaenda mchana
 
Kambi zenyewe na miundombinu yake ipo hoi. Kazi ya askari polisi wanaifanya iwe kama laana hao watawala
Unashangaa kambi je vituo vya polisi sindiyo vichekesho hata choo cha sa100 ni bora mara 1000 kuliko vituo vya polisi sijui kwanini vituo vya polisi vina dharauliwa sana na wahuni wa ccm ...hivi pesheni ya afisa mmoja wa polisi inatosha kujenga kituo standard ...sasa kama serikali inaweza kulipa pesheni inashindwa nini kujenga vituo vya kisasa vya polisi nchi nzima....kuwe na nyota za vituo kama ilivyo kwa hotel ....kituo cha nyota 1 kituo cha nyota 2 kituo cha nyota 3 ,vituo vijenge kila nyota na ubora wake kuanzia ukubwa .idadi ya askari .vifaa kazi nk .
 
Kambi zenyewe na miundombinu yake ipo hoi. Kazi ya askari polisi wanaifanya iwe kama laana hao watawala
Ccm ni kabisa polisi ndiyo jicho la nchi ,ukienda katika nchi yoyote na ukataka kujua upo salama kiasi gani basi wewe angalia ubora wa vituo vya polisi vya hiyo nchi tu ni moja ya kitu muhimu sana ..ukikuta polisi wamevaa nguo hadi zenye viraka jua hali ni tete sana kiusalama ...leo hii kuna familia za polisi CCM inawalaza kwenye mabanda ya mabati kama nguruwe.
 
Yaani kuishi vile vibanda vya bati vya polisi ni uendawazimu uliotukuka.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana mimi nasema sana humu kuwa CCM NI MAFII HUYO MASAUNI SI AWAJENGEE POLISI NYUMBA KULIKO KUWATISHA WAPUMBAVU MITANDAONI KUWA WANAMKASHIFU MAMA ...KAMA MAMA HATAKI KUKASHIFIWA DAWA NI KUACHIA MADARAKA TU . JPM NA UKALI WOTE ALIOKUWA NAO WALIMKASHIFU ILA YEYE ALIPUUZA NA KUENDELEA KUCHAPA KAZI KWA BIDII
 
Inasikitisha sana, imefikia mahala wanakuwa wanyonge askari polisi wetu .
Ndiyo maana maaskari wanakuwa wahuni ili la kulaza familia zao kwenye mabanda ya nguruwe ni uhuni mkubwa sana ..bora ingekuwa askari asiye na familia ila hata hiyo ni upuuzi ..ccm acheni upumbavu pesa za tozo zitumike kufumua mfumo mzima wa polisi kuanzia vituo vya polisi ,makazi ya polisi na familia zao na vitendea kazi, bila kusahau mahakama
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.

Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
[/QUOT
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Camillius Wambura amesema polisi wote wanapaswa kukaa kambini ili kurahisisha upatikanaji wao. Kauli hiyo ya kisheria ameitoa alipokuwa akizungumza na askari hao mkoani Kilimanjaro.

Swali dogo ni hili je, itakuwaje kwa wale askari walioanzisha matawi ya familia mitaani?
[/QUOTE inabidi wataarishiwe sensa yao.
 
Kambi? Au anamaanisha kota za polisi?
Kwa kambi hilo naona ni ngumu kutekelezeka sababu polisi wengine wanamaisha ya kifamilia mitaa,
Utapomwambia atoke kwake akakae kambini kama yuko vitani never, never naludia tena neverrr
 
Kambi? Au anamaanisha kota za polisi?
Kwa kambi hilo naona ni ngumu kutekelezeka sababu polisi wengine wanamaisha ya kifamilia mitaa,
Utapomwambia atoke kwake akakae kambini kama yuko vitani never, never naludia tena neverrr
Kota za polisi ndio kambi zenyewe
 
Hivi si walisema wanalipwa pesa ya pango? Wakijengewa nyumba watakuwa wameomoa pesa ya umma.

Hivi kwenye tume nimesikia kama wastaafu wamepewa KUCHUNGUZA hawa si ndiyo waliolifikisha jeshi Hilo mahali lilipo?

Tatizo nadhani ni kipato duni tunasikia kila siku wanalalamika hawalipwi haki zao lukuki mshahara wameukopea wote ndani Wizi nje Wizi Bank zinawarubuni wanachukua mikopo riba asilimia 90 lazima waibe Acha kuchezea njaa wewe.

Kuna kitu amekiona NAMI nakioma Askari aliyetumikia miaka 20 Hana cheo alafu anakuja Askari mdogo miaka sita anakuwa mkubwa Kwanza Hana familia Hana majukumu pili anataka atoe amri Kwa mkongwe naamini utii huo utakuwa wa kinafiki Sana.
 
Jana nilienda sehem kupat chakula cha usiku nimefik pale kuna askar wale kikosi cha FFU nae alikua anapat msosi huku anasikiliza nondo za tundulisu sjui ata ulikua mjadala gan ule coz hakuweka headphone aliwek saut kubwa 😂😂 moyon nikajisema duuh kumb wana wanamuelewa san ila ndo ivo tena
Kuna mmoja leo nilimpa lift yeye ni traffic p, ametumiwa voice note isemayo...amkeni Waziri Nchemba ameagiza Yutong 60 nchi inatafunwa.

Akasnza kunihoji hii ni kqeli ama uongo?
Nikamjibu niliisoma jf.

Akauliza tena je mabasi ya Ester ni yake kweli?.nikamjibu sina uhakika nasikia sikia tu.
Mwamba alisikitika sana
 
Kuna mmoja leo nilimpa lift yeye ni traffic p, ametumiwa voice note isemayo...amkeni Waziri Nchemba ameagiza Yutong 60 nchi inatafunwa.

Akasnza kunihoji hii ni kqeli ama uongo?
Nikamjibu niliisoma jf.

Akauliza tena je mabasi ya Ester ni yake kweli?.nikamjibu sina uhakika nasikia sikia tu.
Mwamba alisikitika sana
Kama si viapo vinavyowabana tungekua tunaongea mengine saiv
 
Back
Top Bottom