Askari wetu wa barabarani waone aibu!

Mkuu wakifanya kazi kwa uweledi wao nakuhakikishia hakuna daladala itayo tembeaa barabarani Zote zitakua kituoni izo Gari ni mbovu

Bora wachukue tu za maji izo
katika daladala mia, inayosoma dashboard ni 3-5.. bado makosa mengine mengine...
 
Mkuu wakifanya kazi kwa uweledi wao nakuhakikishia hakuna daladala itayo tembeaa barabarani Zote zitakua kituoni izo Gari ni mbovu

Bora wachukue tu za maji izo
Kwahiyo hizo daladala unazosema mbovu mbona hazisababishi ajali kwa ubovu wao?

Kila siku ndo tunazitumia kwenda kwenye mihangaiko yetu sasa ubovu upo wapi?

Usihalalishe haramu badala yakusisitiza ueledi wa kazi.
 
Dawa Yao Hiyo Hapo
download.jpeg.jpg
😁😂😅😄😃
 
katika daladala mia, inayosoma dashboard ni 3-5.. bado makosa mengine mengine...
Kwahiyo ukichukua elfu 2 gari inakuwa nzima?

Hivi Waafrika tutaacha lini tamaa badala yakuangalia maslahi mapana ya nchi?

Ngoja wananchi waendelee kuchukua ushahidi wa picha/video clip askari wanavyochukua rushwa ndo tabia hii itakoma.
 
Dawa ukiwa kama dereva/kinda/abiria ukiona askari anapokea rushwa rekodi tukio liweke social media.Hapo kwisha habari yake.
 
Kwahiyo ukichukua elfu 2 gari inakuwa nzima?

Hivi Waafrika tutaacha lini tamaa badala yakuangalia maslahi mapana ya nchi?

Ngoja wananchi waendelee kuchukua ushahidi wa picha/video clip askari wanavyochukua rushwa ndo tabia hii itakoma.
unahisi trafiki wakifanya kazi yao vzuri!? kutatokea nn!?.. magari mengi ni mabovu sana mkuu, hususani hizi daladala.. wanawaachia fair tu maana kila mtu anatafuta riziki.

haya tukiachana na hilo, hao askari wanapigwa na jua siku nzima mzee, alafu hela yao ndo hvo ndogo, hatimae wanajikuta wanaishia kujiBLESS kwa hvyo vi2000 ili angalau kwa siku atoke na 30k n.k
 
Tatizo ni nchi inapokuwa na mtawala asiye na hekima. Kwa jinsi anavyopenda majeshi yote yawe upande wake (viashiria vya udikteta), akasema wapewe kitu kidogo za kusafishia viatu (rushwa)!
Kwa hulka ya mwanadamu, huwa anatosheka? Ndio kadhia wanayoibeba wenye vyombo vya usafiri.
Na kila idara ya serikali rushwa inadaiwa.
 
Kwahiyo hizo daladala unazosema mbovu mbona hazisababishi ajali kwa ubovu wao?

Kila siku ndo tunazitumia kwenda kwenye mihangaiko yetu sasa ubovu upo wapi?

Usihalalishe haramu badala yakusisitiza ueledi wa kazi.
Akikagua akosi kosa na ndo Maana Unaona hata Hao. Madereva wanawapa ushirikiano wanajua magari yao Yana shida

na suala la kutopata ajali shukuru Mungu

Gari kutembea haimaanishi haina shida
 
unahisi trafiki wakifanya kazi yao vzuri!? kutatokea nn!?.. magari mengi ni mabovu sana mkuu, hususani hizi daladala.. wanawaachia fair tu maana kila mtu anatafuta riziki.

haya tukiachana na hilo, hao askari wanapigwa na jua siku nzima mzee, alafu hela yao ndo hvo ndogo, hatimae wanajikuta wanaishia kujiBLESS kwa hvyo vi2000 ili angalau kwa siku atoke na 30k n.k
Mkuu bado hoja sio kujipoza wenyewe kinachotakiwa wafuate sheria na miongozo ya kazi.

Kama gari bovu mbona linatembea saa 10 alfajir hadi saa 4 usiku tena kwa mwendo wakukimbizana na hakuna ajali inayotokea.

Au tafsiri halisi ya ubovu wa gari ni ipo kisheria?
 
Akikagua akosi kosa na ndo Maana Unaona hata Hao. Madereva wanawapa ushirikiano wanajua magari yao Yana shida

na suala la kutopata ajali shukuru Mungu

Gari kutembea haimaanishi haina shida
Sasa hapo mwarobaini sio kupokea rushwa badala yake kuwe na sheria inayoelekeza ubovu wa gari basi.Kwa maana gari kukosa triangle au kioo kuweka crack kidogo isiwe kosa la kuandikiwa fine badala yake dereva/mmiliki aelekezwe akarekebishe tu.

Mbona siku hizi magari mengi barabarani ni mapya yale mabovu kwa kiasi kikubwa yanapotea.

Kuliko kila siku kuunga zaidi ya elfu 10 kwa daladala moja ambayo kwa mwezi ni zaidi ya laki 3 so bora urekebishe hicho kitu kinachokufanya utoe rushwa ya elfu 10 kwa siku.
 
Mkuu wakifanya kazi kwa uweledi wao nakuhakikishia hakuna daladala itayo tembeaa barabarani Zote zitakua kituoni izo Gari ni mbovu

Bora wachukue tu za maji izo
Bora zisitembee, ili zikitembea kila mtu awe na uhakika na usalama wake. Yaani unahalalisha rushwa kwa usalama wa abiria? Unaona ni sawa kabisa? Tz tuna safari ambayo sio tu ni ndefu sana, ila sioni mwisho wake!
 
Boss unaambiwa wao hawangalii uzima wa gari na wala hawakagui ,gari hata ikiwa mpya kila asubuhi kwenye migundi yao yote unaacha elfu 2 hawacheki na mtu.
Mkuu wakifanya kazi kwa uweledi wao nakuhakikishia hakuna daladala itayo tembeaa barabarani Zote zitakua kituoni izo Gari ni mbovu

Bora wachukue tu za maji izo
 
sio fresh kunisnitch mkuu mi pia trafiki wa kwenye hyo route.. sasa kuchukua buku 2 tu mzee, umeamua uyalete huku dah?.

"usilalamike hii nchi wenyewe, na wewe kua katika hao wenyewe"
"usilalamike watu wenye nyadhifa wanapiga pesa, na ww piga"
 
We jamaa kweli utakua trafki niambie ni wa kijiwe gani ili nikupitishie hela ya maji japo sina gari.
unahisi trafiki wakifanya kazi yao vzuri!? kutatokea nn!?.. magari mengi ni mabovu sana mkuu, hususani hizi daladala.. wanawaachia fair tu maana kila mtu anatafuta riziki.

haya tukiachana na hilo, hao askari wanapigwa na jua siku nzima mzee, alafu hela yao ndo hvo ndogo, hatimae wanajikuta wanaishia kujiBLESS kwa hvyo vi2000 ili angalau kwa siku atoke na 30k n.k
 


Uzi nimeleta kwa sababu mara kadhaa nimewahi sikia hao madereva na makonda unakuta ikifika jioni wakitoa pesa ya mafuta na hesabu unaweza kuta inabaki mfano elfu 30 na wako wa tatu.Sasa fikiria umeamka saa 10 alfajiri inafika saa nne usiku una elfu 30 mgawane watu watatu na unafamilia hayo maisha unadhani yatakua ya namna gani? Waoneeni huruma wazee
hahaaaaa, braza mezea tu.. umeweza kuleta uzi, utashindwa kuniletea TAKUKURU?
 
Wabongo mna mabichwa magumu balaaa.

Magufuli alishawaruhusu hao traffic kuchukua rushwa.

Alisema pesa wanayochukua ni ndogo tu ya kubrush viatu.

Sasa unakuta takataka kama ninyi mnaoimba kila siku Magufuli baba lao kakomesha rushwa eti mnalalamika huku mkijifanya kuwalaumu traffic wakati chanzo mnajifanya hamkioni.
Magufuri anahusika vipi na rushwa?
 
Back
Top Bottom