LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,338
- 6,427
wee askari si raia.. ukitaka ujue hiyo kauli ya raia upite kwenye kambi zao, yan nahisi kuwa mjeshi wanabadili vingi sana.. eti ona raia walivyozubaa wakati naye anatazama wanachotazama raia..KWANI ASKARI SIYO RAIA? hii kauli ya RAIA Siipendi kama nini!
Atahangaika vipi na raia wakati yeye kazi yake ni ulinzi(kuchunga wafungwa) ila polisi(wanaume/wazee wa kazi) lazima wahangaike na raia maana kazi yao ina interaction na raia.Magereza mara nyingi wanatoewa jkt,halafu hakuna wanaojiheshimu kama magereza anajua tu utamkuta magerezani hangaiki na raia wa mtaani kama polis
TuliaHaaaa huwezi elewa kama hujapitia mafunzo ya uaskari .
Endeleeni kuwapiga hao baba kanituma mkiingia miziki mingine mtatema nyongo
Buguruni gani?Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza
Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!
Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.
Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani
Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Hii ni mbinu ya kizamani sana mkuu,kama umeiva kwenye mambo ya kijeshi.Kurutu wa Polisi analala kwenye chandarua chenye dawa wakati kurutu Magereza JWTZ ana six wiki za bila kukutanisha kope.
kamanda
Koleza utamu kwakuweka video..hahahaMaeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza
Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!
Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.
Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani
Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Nakuambia ukwelikamanda
Wale hawachezewi na hawana reaction ya kipuuzi ila wakireact itakuwa balaafanyeni yote ila msipeleke viuno kwa waumini wa 121 na 92kj, kuna watu walishapoteza hisia za maumivu, *PAIN IS MY MEDICINE*
Nyie Maraia mna shida sanaKWANI ASKARI SIYO RAIA? hii kauli ya RAIA Siipendi kama nini!
Jwtz mnavyopewa sifa na raia basi mnajawa na ubabe,sasa tumeamua tuwaonyeshe kwa kuwatembezea kichapo ili mjue kila mtu ana weledi wa kazi yake,pia mjue kuheshimu kazi za wengine.
Hata mimi siipendi na ndio maana nikatoka huko.KWANI ASKARI SIYO RAIA? hii kauli ya RAIA Siipendi kama nini!
Mama utaweza kupigana na hizo moka?Hiyo itakuwa ajali kazini
Ila wazoefu wa mikasa ya mitaani hatufagi kizembe zembe