BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 654
- 1,598
Tumeshambuliwa na mabomu ya machozi ofisi yetu ya CHAMA SONGEA na ktk eneo ambalo tunapaswa kufanya mkutano leo. It is too Sad I can not even speak. Press Conference Soon.
ongezea hii kwenye stori yako
JOHN HECHE NA LEMA WACHUKULIWA KWA MAHOJIANO NA POLISI
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Brenda Rupia amezungumza na JamiiForums kuhusu tukio hilo amesema “Ni kweli Polisi wamevamia mkutano wetu na Wanahabari, wameondoka na viongozi kadhaa wakiwemo Makamu Mwenyekiti, John Heche na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema.”
ongezea hii kwenye stori yako
JOHN HECHE NA LEMA WACHUKULIWA KWA MAHOJIANO NA POLISI
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Brenda Rupia amezungumza na JamiiForums kuhusu tukio hilo amesema “Ni kweli Polisi wamevamia mkutano wetu na Wanahabari, wameondoka na viongozi kadhaa wakiwemo Makamu Mwenyekiti, John Heche na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema.”

