Jibu zuri, wote kazi ni kusimia sheria, hata trafiki ana anaweza kumdhibiti muarifu wa aina nyingine. mavazi ni utambulisho tu.
Mkumbushe yule traffic police Mkwawa alipowamwagia njugu majambazi pale Ubungo mataa. Ingekua traffic hafanyi kazi za askari wa kawaida and vice versa afande Mkwawa si angekimbia tu!