askari wasio traffic ni halali kuuliza leseni

askari wasio traffic ni halali kuuliza leseni

delusions

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
5,001
Reaction score
1,292
Mi huwa siwaelewi kwani job description yao Ina waruhusu na kama inawaruhusu Je kuna haja gani ya kuwa na wanaovaa Nguo nyeupe wanapiga dili tu hasa hawa wanaotembea na pikipiki kwqkweli siye waendesha boda boda tukiwaona tunakula kona maana ni vimeo tunahitaji tamko kama ni sawa na kama du sawa tuwe tunawapita tu wakitusimamisha
 
Mi huwa siwaelewi kwani job description yao Ina waruhusu na kama inawaruhusu Je kuna haja gani ya kuwa na wanaovaa Nguo nyeupe wanapiga dili tu hasa hawa wanaotembea na pikipiki kwqkweli siye waendesha boda boda tukiwaona tunakula kona maana ni vimeo tunahitaji tamko kama ni sawa na kama du sawa tuwe tunawapita tu wakitusimamisha
hawaruhusiwi.walipewa hizo pikipiki kwa ajili ya doria tu
 
Kazi ya askari polisi ni kusimamia sheria, hivyo anayo hak ya kukuuliza lesen na makosa mengine kama unayo. Ikiwa una makosa anatakiwa akupeleke sehem husika lkn c kukutoa mpunga. Huwa wananikera hao "tigo pesa"
 
Kazi ya askari polisi ni kusimamia sheria, hivyo anayo hak ya kukuuliza lesen na makosa mengine kama unayo. Ikiwa una makosa anatakiwa akupeleke sehem husika lkn c kukutoa mpunga. Huwa wananikera hao "tigo pesa"

Jibu zuri, wote kazi ni kusimia sheria, hata trafiki ana anaweza kumdhibiti muarifu wa aina nyingine. mavazi ni utambulisho tu.
 
Hakuna chuo cha utrafic.Kuna vyuo vya upolisi,Hivyo askari wote ni sawa na wana wajibu sawa katika ku enforce law.Ukimuona amevaa nguo nyeupe basi ujue ni mzunguko wa kazi tuu kwani kesho waweza kumuona amevaa nguo za kijani au za rangi ya udongo. Hivyo ndugu ukisimamishwa na askari polisi yoyote mwenye uniform bila kujali kavaa nguo za rangi gani unawajibika kujibu maswali anayokuuliza na ukikataa unajirisk kushtakiwa na kosa la disobedience of lawful order au obstracting a law enforcement officer ambayo ni makosa ya jinai na hayo ni mbali na hilo kosa ambalo kwalo alikusimamisha
 
Jeshi la polisi ni moja! Job description ni common, haijalishi una nguo nyeupe, ffu Au gd!
 
Hakuna chuo cha utrafic.Kuna vyuo vya upolisi,Hivyo askari wote ni sawa na wana wajibu sawa katika ku enforce law.Ukimuona amevaa nguo nyeupe basi ujue ni mzunguko wa kazi tuu kwani kesho waweza kumuona amevaa nguo za kijani au za rangi ya udongo. Hivyo ndugu ukisimamishwa na askari polisi yoyote mwenye uniform bila kujali kavaa nguo za rangi gani unawajibika kujibu maswali anayokuuliza na ukikataa unajirisk kushtakiwa na kosa la disobedience of lawful order au obstracting a law enforcement officer ambayo ni makosa ya jinai na hayo ni mbali na hilo kosa ambalo kwalo alikusimamisha

Kaka hapa uhuru road kko wapo ulinzi shirikishi wanavaa vikoti vya bodaboda nao wanafanya majukumu yote ya trafki hasa jukumu la rushwa kwa daladala nalo wapo full, hawa nao vp?
 
Jibu zuri, wote kazi ni kusimia sheria, hata trafiki ana anaweza kumdhibiti muarifu wa aina nyingine. mavazi ni utambulisho tu.
Lakini wametofautishwa ili kusiwe na muingiliano maana hata kwenye sheria kuna wataalamu wa sheria za ardhi n.k, endapo kutoonekana kosa ambalo ni la wazi hao tigo pesa wanaruhusiwa kusimamia sheria pia the same kwa trafic police akikuta mnagombana au kibaka pia anakuchukua lakini sio kama hao wa pikipiki wanaacha kazi zao na kuanza kufuatilia kazi za TRA na idara ya misitu kwa kuangalia kama mzigo una document wakati ujambazi ukitokea wala hawaonekani eneo la tukio (hizo kazi zingine wanazofanya ni za ziada lakini wao ndio kama zipo kwenye JD yao)
 
Kaka hapa uhuru road kko wapo ulinzi shirikishi wanavaa vikoti vya bodaboda nao wanafanya majukumu yote ya trafki hasa jukumu la rushwa kwa daladala nalo wapo full, hawa nao vp?
Mkuu asante kwa swali zuri. Hao walinzi shirikishi wana mamlaka sawa na wewe ya kutilia mashaka na kukamata chini ya kifungu cha 16 cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai.Wakisha mkamata mtuhumiwa ni matakwa ya kisheria kufikishwa polisi haraka iwezekanavyo ili ashugulikiwe kwa mujibu wa sheria ikiwa ni pamoja na re arest,seaching ivestigation na hatimae kuachiwa huru kama ushahidi utakuwa hafifu,kuachiwa kwa dhamana wakati upelelezi ukiendelea au kufikishwa mahakamani ndani ya masaa 24
 
Kazi ya askari polisi ni kusimamia sheria, hivyo anayo hak ya kukuuliza lesen na makosa mengine kama unayo. Ikiwa una makosa anatakiwa akupeleke sehem husika lkn c kukutoa mpunga. Huwa wananikera hao "tigo pesa"

Kazi ya askari ni kubuni vyanzo vipya vya RUSHWA, unaamini wamepewa SMG ili kulinda sheria dhidi ya madereva wasio beba leseni ? imani kama hiyo ndiyo inayofanya jeshi la polisi lisiwe na mpinzani kwenye tasnia ya wala rushwa nchini. Kama kila askari ni mlinda sheria ? kwanini kuna vitengo, kwa nini isiwe wanapangiwa kazi asubuhi, badala ya kuuunda vitengo,ambavyo mwisho wa siku vinachagua kazi ipio yenye urahisi wa Rushwa ndiyo vinajikita nayo. Hata viongozi wa ngazi ya juu ya Jeshi la Polisi wanaaminio kwamba polisi wote wanayo haki ya kutemda watendavyo, Ni udhaifu na kukosa dira ya utendaji,kama wangekuwa na dira ya utendaji basi kila mmoja angesimamia kile alichopangiwa kufanya hata kama anao uwezo wa kufanya kingine,alu kama anaamini kuna kundi linatenda kinyume na sheria basi nae awasiliane na yule mwenye jukumu hilo. MMh VIANZO VYA RUSHWA VITAPUNGUZWA SANA,sidhani kama watakubali, wache kuhangaika na malori ya mkaa wabaki na majambazi yenye silaha, ambako hakuna rushwa bali kifo nje nje...
 
Lakini wametofautishwa ili kusiwe na muingiliano maana hata kwenye sheria kuna wataalamu wa sheria za ardhi n.k, endapo kutoonekana kosa ambalo ni la wazi hao tigo pesa wanaruhusiwa kusimamia sheria pia the same kwa trafic police akikuta mnagombana au kibaka pia anakuchukua lakini sio kama hao wa pikipiki wanaacha kazi zao na kuanza kufuatilia kazi za TRA na idara ya misitu kwa kuangalia kama mzigo una document wakati ujambazi ukitokea wala hawaonekani eneo la tukio (hizo kazi zingine wanazofanya ni za ziada lakini wao ndio kama zipo kwenye JD yao)

Kama unaona wanafanya kazi, tofauti na utaratibu dawayake wakikusimamisha, ni kuto simama tu. maana wanaingilia kazi zisowahusu.
 
Mi huwa siwaelewi kwani job description yao Ina waruhusu na kama inawaruhusu Je kuna haja gani ya kuwa na wanaovaa Nguo nyeupe wanapiga dili tu hasa hawa wanaotembea na pikipiki kwqkweli siye waendesha boda boda tukiwaona tunakula kona maana ni vimeo tunahitaji tamko kama ni sawa na kama du sawa tuwe tunawapita tu wakitusimamisha

Hata wewe una haki ya kumdai mtu leseni kama uko barabarani na naonekana amekugonga kizembe.
 
Kazi ya askari polisi ni kusimamia sheria, hivyo anayo hak ya kukuuliza lesen na makosa mengine kama unayo. Ikiwa una makosa anatakiwa akupeleke sehem husika lkn c kukutoa mpunga. Huwa wananikera hao "tigo pesa"

...kazi ya polisi wa kawaida ni kusimamia usalama wa raia na mali zao na sio kusimamia sheria,suala lolote la kisheria ni kazi ya mahakama. So unaruhusiwa kumuonyesha leseni au kutomuonyesha ukamwambia nitakuja kituoni kuonyesha leseni,isizidi siku tatu...
 
Hawa askari wanaovaa kaki kuna mmoja alinisimamisha pale mwenge njia ya bagamoyo na kuniuliza leseni nikampa washa endiketa nikawasha fire triangle nikampa akaniuliza mbona gari chafu nikamshangaa hivi hili nalo nin kosa hivi hawa kweli wanajua sheria ndo mana wakawekwa wale wa nguo nyeupe ili waonekane vema barabarani na pia wasiunguzwe na jua hawa kama kweli wanapaswa kukaa barabarani wakae waone jua la hadi saa tisa kama hawajakimbia wenyewe wanapaswa kupiga misele kwenye majambazi wao kutwa kusalandia mabodaboda na kushtukiza shtukiza ndo mana ujambazi hauishi
 
Kama unaona wanafanya kazi, tofauti na utaratibu dawayake wakikusimamisha, ni kuto simama tu. maana wanaingilia kazi zisowahusu.

Unaweza ukalamba shaba ya mgongoni kama yule mwalimu wa mikoa ya kusini.
 
Back
Top Bottom