pombe sio mbaya wanadamu ndio wabaya!"Drink beer save water"
Nawaombeni kaka zangu msichukulie ubakaji kama adhabu hata siku moja. Ni kosa linalo lingana na kuua, nyinyi hamjui tu. Congo walianza hivi hivi watu wanabakwa mmoja mmoja then kukitokea tu maanda mano ao hali yoyote inayo ziwiz serikali kuenforce law and order watu wanachukulia opportunity kuwabaka wanawake around them (haswa wale wanao onekana kama wanajeuri etc). Sio Congo yote ila baadhi ya sehemu. VIta lilipo ripuka mara ya pili in 1998 ubakaji ukawa unatumiwa kama silaha. Askari wakiingia kujijini wanabaka wanawake ili kuwakomesha waume zao na pia wanajigawia wanawake as "trophees".Sheria za polisi zinasemaje juu ya ulevi kwa askari wake?
Nadhani adhabu aliyokuwa aipate kazini kwake kaipata baa!
na kwa walivyo vijana wa siku hizi, sijui kama hawakuruka ukuta
Kuruka ukuta ndio inakuwaje?na kwa walivyo vijana wa siku hizi, sijui kama hawakuruka ukuta
Kama mwanamke akibakwa njia za haja ndogo na haja kubwa zinakutana kwa kupasuka pasuka. Read about fistula ndio utaelewa. wanaweza wasiruki ukuta ila unyama wa tendo lenyewe wakajikuta wamepasua njia hadi pande la pili...bibiye kajinyea halafu wewe unauliza kama vijana hawakuruka ukuta?njia ya kawaida haitoi mavi mkuu,labda kama bibiye hayuko sawa kimaumbile!
Alibakwa na kulawitiwa....nadhani kulawitiwa ndo kuliwa tigo ka ckoseina kwa walivyo vijana wa siku hizi, sijui kama hawakuruka ukuta
Nimecheka ila inasikitisha, watoa tangazo nao wanabakwa?Chonde! Chonde! Ulevi noooma.Imetolewa na: Wizara Afya na Ustawi wa Jamii na Jeshi la Polisi.
Kwenye makambi yao bia zinauzwaga buku.Hivi yale matangazo yenye hako kamsemo si kwa hisani ya jeshi la polisi sijui na wizara gani? Sa ina maana polisi nao hawafunzwi kuwa ulevi noooma!???? Wangeanza kuelimishana wao kabla hawajaanza kuelimisha umma
Kama mwanamke akibakwa njia za haja ndogo na haja kubwa zinakutana kwa kupasuka pasuka. Read about fistula ndio utaelewa. wanaweza wasiruki ukuta ila unyama wa tendo lenyewe wakajikuta wamepasua njia hadi pande la pili...
askali wana ruksa ya kustalehe no matter what,pole wipnadhani inategemea kama alikua kazini au la
wamebadlika banaaa af nimecheekakama ni makete, atakuwa kashaambukizwa ukimwi
Usisahau yeye ni binadamu wala si Mungu, na ahukumiwe 30yrs hata kunyongwa, hatutetei upuuziYule Padri wa kichaga amemlawiti mtoto na kumnyonga uume hadi kumtoa damu! Yeye ni mkatoliki mchaga wa Moshi!
tatizo la hawa jamaa na wao wamezidi kuwafanyia raia ukatiri ndo maana na raia wanaamua kufanya ukatiri kama wa huyu dada afande. Lakini vipi kaka hii picha ninayoiona hapa ndo ya huyo afande aliyefanyiwa hayo madavdav?huyu askari labda alikuwa napenda huu mchezo??