Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,135
- 1,000
Hivi punde kuna taarifa za kugongwa kwa askari Wa Usalama barabarani huko Mbagala akiwa katika jitihada za kulisimamisha dakadala hilo lenye safari za kutoka Temeke kwenda Mbagala chalambe. Askari walikuwa wanne , jitihada za kunasua abiria wanne wengine waliokuwa ndani zinaendelea.
---------------------------------
UPDATE:
Taarifa za kuaminika zinasema Trafiki huyo kapoteza maisha mapema leo (16/09/2014) akiwa bado hospitali.
Traffic Amegongwa na gari aina DCM leo akiwa kazini,point mbagala rangi 3,aliwahisha Temeke Hospital na baadae kuhamishiwa Muhimbili.
Aliyepata ajali ni WP 2806 Cpl Riziki, chanzo cha habari kinasema hali yake si mbaya sana.
---------------------------------
UPDATE:
Taarifa za kuaminika zinasema Trafiki huyo kapoteza maisha mapema leo (16/09/2014) akiwa bado hospitali.