tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,896
- 19,755
Hao wa ms wana njaa kali kuliko fisi mji huo mgumu hakuna pesa zaidi ya kuforce kingi,na kuna wengine pale msaranga nao balaaWadau habari zenu?
Kuna trafiki mmoja mweupe na ni kijana,Leo(14/2/17) amekuwepo eneo la eneo Memorial(high way ya Arusha to MOSHI)
Huyu trafic amezidi kusimamisha magari na kuyatafutia makosa na akishayapata anataka walipe faini au watoe rushwa,na ameandaa vijana wake hasa wauza magazeti ili wamkusanyie hizo pesa.
Ameshika kitabu cha notifications mkononi kwa ajili ya kuzugia na kutosha watu ili watoe pesa.
Naomba uongozi wa polisi na wadau wengine mtambue hilo.
Muhanga
