Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Imbombo jilipo
na tena ni imbombo ngafu.
Imbombo jilipo
Kamanda Mpinga, askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe.
Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks.
Hata mimi nimeshangaa sana, humu kuna watu wanamuandama mleta mada, kwa mtindo huu, rushwa haitaishaInauma ndani ya nchi yako unapoamua kuripoti uovu unaonekana mjinga. Rushwa imekua jambo la kawaida kiasi kwamba ukilalamika kuombwa rushwa unaonekana mjinga
Atakumbukwa sana the Blessed Mwal. J.K Nyerere. Ila yana mwisho hata kama si leo.
Atakumbukwa sana the Blessed Mwal. J.K Nyerere. Ila yana mwisho hata kama si leo.
Wewe acha u bushlawyer krek ni krek tu kama haungekuwa na kosa si ungeenda nae kituoni.
Wewe acha u bushlawyer krek ni krek tu kama haungekuwa na kosa si ungeenda nae kituoni.
[/COLOR]
Hapo umenena mkuu, sasa hivi hakuna aliye kiongozi mzalendo.
Kamanda Mpinga, askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe.
Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks.
TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.
ushahidi si ni faini aloniandikia wakati kosa sina ,,,side mirror ina crack ndogo sana
Kamanda Mpinga, askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe.
Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks.
TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.