heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
Manchekesha sana mapot
Mnadharaulikia.
Mnalipwa ili mtupe watu mnalipwa ili muue watu ,muwabambikizie kesi n.k
Adi sasa nafikiri posho zishaisha zile za oct 29 mmerudi apeche alolo mnakula dei waka za kuteka teka watu ovyo.
Mpo salama maana watu wengi hawana access ya silaha ,kwa sisi tuliozunguka Nchi tofauti na kuishi na watu tofauti wenye roho za ajabu
Nyie watekaji na wauwaji wa Tz naona mnachekesha
Unalipwa Million wengine 500k ndo
ya kufanya kumuua mtu asie na madhara yoyote, bora ufanye hayo yote huna cha kupoteza huna familia huna watto
Polisi mkishakosa tenda mtaanza kujipa tenda mtaanza kuteka watu na kupora pesa wafanyabiashara kuweni makini sana ukiweza miliki mguu wa kuku kama mimi basi we miliki tu
Mnadharaulikia.
Mnalipwa ili mtupe watu mnalipwa ili muue watu ,muwabambikizie kesi n.k
Adi sasa nafikiri posho zishaisha zile za oct 29 mmerudi apeche alolo mnakula dei waka za kuteka teka watu ovyo.
Mpo salama maana watu wengi hawana access ya silaha ,kwa sisi tuliozunguka Nchi tofauti na kuishi na watu tofauti wenye roho za ajabu
Nyie watekaji na wauwaji wa Tz naona mnachekesha
Unalipwa Million wengine 500k ndo
ya kufanya kumuua mtu asie na madhara yoyote, bora ufanye hayo yote huna cha kupoteza huna familia huna watto
Polisi mkishakosa tenda mtaanza kujipa tenda mtaanza kuteka watu na kupora pesa wafanyabiashara kuweni makini sana ukiweza miliki mguu wa kuku kama mimi basi we miliki tu