Wale wanachukua hongo, hawa wanachukua rushwa.Wakuu
Hawa maafande wetu wanachukua parefu sana.
Tunaomba wajifunze kwa askari wa Congo ambao wao ukimpa andazi, mshikaki anaridhika na anakuacha unaondoka zako
Wawe na huruma basi maana sasa ni kuumizana huku