Askari Polisi nao ni binadamu

naona mnahangaika kupindisha ukweli....ila watanzania wa leo sio wale wa zidumu fikra za mwenyekiti....kila mtu anajua nini kinaendelea....
 
Tatizo baadhi wanatumika vibaya,kisiasa,pia wanadhalilisha utu kwa kutendea ukatili watuhumiwa,mfano video matukio karibuni kukamata ,kupiga kwa fedheha wafuasi wa CDM.
 
kwanza wewe unaijua risasi au unadhani ni manati yanayotumia mawe
hakuna Raia anayeruhusiwa kumiliki Sub machine Gun, AK 47 NK
ni watu maalum tu ndio wanaruhusiwa na hawafyatui bila AMRI ya FIRE
Hoja hupingwa kwa hoja mkuu.
 
Suala hapa si nani kafyatua risasi. Suala ni roho mbaya kiasi gani kwa binadamu kufanya kitendo kinachosababisha mauti kwa mtu asiyekuwa na hatia. Hii roho ya kutaka kuua kwa jambo ambalo halina mashiko ni aibu au ni woga uliovuka mpaka. Kwa nini Watz tusijifunze kwa wenzetu wa kenya. Hivi ni watu wangapi wangeweza kupoteza maisha wakati jamaa akionyesha ukalulu wa kujiapisha kuwa rais kwenye jukwaa kama la kuendeshea mnada wa mitumba? Mungu ilaze roho ya mja wako Akwilina kwenye raha ya milele.
 
Huna tofauti na shetani falauni wewe
 
ningekuwa na uwezo wa kukudelete humu ningekufuta kabisa ukapotea fuckini
 
huijui hiyo silaha wala uzito wake ukidhani ni manati, utatembea nayo AK47 Kinondoni Mkwajuni begani au mfuko wa suruali? tena saa 11 jioni ndani ya maandamano. Hebu msitetee ujinga wa buk 7 hao ni POLISI hao 6 tu
kwahyo unasapot ama vp mkuu
 
N video ngap zinathibitisha vitendo vya rushwa n wangap mtaanii wapo jela kwa kesi ambazo sio zao eeeh mbn unajitoa ufahamu mkuu
si askari wote hata hvyo siyo sheria ya jeshi kupakazia kesi ni baadhi yaa askari watovu wa nidham tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…