Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Bonde la Baraka, Avatar yako ni tofauti na akili zako. Hivi na wewe unaamini wabunge hao tena wanawake walikwenda kufanya fujo magereza ?!. Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Wakati akina Halima wananyanyaswa wenzao wa Ccm waliruhusiwa kuingia na magari na waandishi mpaka ndani ya lango kuu la magereza kumchukuwa Dr Mashinji na kujaribu kumchukuwa mchungaji Msigwa. Je hao kina Polepole mbona hawakusubiri kuwapokea Lumumba ?! Mbona hawajapigwa !!
Endelea kushangilia mfumo unaotoa haki kwa ubaguzi. Haki ya kufanya jambo iwe kwa wote .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati akina Halima wananyanyaswa wenzao wa Ccm waliruhusiwa kuingia na magari na waandishi mpaka ndani ya lango kuu la magereza kumchukuwa Dr Mashinji na kujaribu kumchukuwa mchungaji Msigwa. Je hao kina Polepole mbona hawakusubiri kuwapokea Lumumba ?! Mbona hawajapigwa !!
Endelea kushangilia mfumo unaotoa haki kwa ubaguzi. Haki ya kufanya jambo iwe kwa wote .
Sent using Jamii Forums mobile app