Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,475
Unakoandika wewe hapa nishapita zamani sana.Wewe ndio mjinga, jifunze kusikiliza na kufuatilia mambo si kubwabwaja tu kisa umepewa mdomo wa kubwatuka
Mnachoshindwa kuelewa ni kufikiri kila sehemu inatakiwa siasa, soma amri za jeshi na si kulazimisha mambo, huko ni jeshini, acheni mihemko
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia mjadala huko nyuma, usirukie treni kwa mbele tu.
Sent from my typewriter using Tapatalk