masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Hapa ni kasi ya zamani, au mwasemaje wadaU?
Wanataka kusababisha ajali tu pale pameziba sana.View attachment 450845
Hapa ni kasi ya zamani, au mwasemaje wadaU?
Mkuu wewe huoni hakuna kinachoendelea?KASI mpya una maana Gani kuuliza HiVyO. Me nachoona wanafanya kama marekebisho kuipa muonekano mpya.. Naomba kujuzwa zaid
yaniiiYani wamezungusha mabati ndani hakuna kinachoendelea duuuuu
Labda wanaondoa hiyo sanamu ya Askari kuweka ya Diamond Platnum kutekeleza agizo la Mh . Mbunge wa Morogoro kusini
samahani mkuu... hivi pale ajali inawezakusababishwaje labda? mi ndio niko Victoria Driving school pale Magomeni.Wanataka kusababisha ajali tu pale pameziba sana.