Askari magereza hawapati teuzi, hizi ndio sababu

lewis acid

Member
Mar 21, 2017
57
120
Kama mko makini mtakubaliana namimi kwamba rais aliyeko madarakani na rais wote waliopita hawateui wastaafu kutoka jeshi la magereza ukilinganisha na jwtz na polisi.

Ni wazi kwamba magereza ipo tangu zamani na sio jeshi la jana, tangu mkoloni magereza ilikuepo.
Sababu zinazopelekea wasiteuliwe kushika nafasi mbalimbali ni hizi:

1.Wengi hawana elimu.

2.Ni waoga sana kukutana na viongozi wakubwa kama raisi

3.Wanaishi kwa fitna kuliko haki, wananyanyasana hata wao kwa wao, mwenye cheo anamnyanyasa asiye na cheo.

4.Ni watu wanapenda uovu,ufujaji mali za umma, kama askari hawa wangekua wasafi kwa nguvu kazi walionayo ya wale wafungwa basi wangeweza kuzalisha na kuhudumia jamii na kuipatia serikali mapato makubwa sana, cha ajabu serikali inatenga bajeti ya kutunza wafungwa.
Inamaanisha uzalishaji unaofanyika unaishia mikononi mwa watu wenye vyeo huko magereza.

5. Hawana ushirikiano kama ilivyo kwa polisi na jwtz.
Hilo liko wazi kama uko makini utagundua hilo.

Ongeza na sababu zako wewe unazoona hawa jamaa zinawafelisha.
 
Kama mko makini mtakubaliana namimi kwamba rais aliyeko madarakani na rais wote waliopita hawateui wastaafu kutoka jeshi la magereza ukilinganisha na jwtz na polisi.

Ni wazi kwamba magereza ipo tangu zamani na sio jeshi la jana, tangu mkoloni magereza ilikuepo.
Sababu zinazopelekea wasiteuliwe kushika nafasi mbalimbali ni hizi:

1.Wengi hawana elimu.

2.Ni waoga sana kukutana na viongozi wakubwa kama raisi

3.Wanaishi kwa fitna kuliko haki, wananyanyasana hata wao kwa wao, mwenye cheo anamnyanyasa asiye na cheo.

4.Ni watu wanapenda uovu,ufujaji mali za umma, kama askari hawa wangekua wasafi kwa nguvu kazi walionayo ya wale wafungwa basi wangeweza kuzalisha na kuhudumia jamii na kuipatia serikali mapato makubwa sana, cha ajabu serikali inatenga bajeti ya kutunza wafungwa.
Inamaanisha uzalishaji unaofanyika unaishia mikononi mwa watu wenye vyeo huko magereza.

5. Hawana ushirikiano kama ilivyo kwa polisi na jwtz.
Hilo liko wazi kama uko makini utagundua hilo.

Ongeza na sababu zako wewe unazoona hawa jamaa zinawafelisha.
Nafanya uchunguzi
 
JWTZ lazima uwapoze sababu lolote wanaweza kufanya, polisi ni kwa ajili ya kushughulikia wapinzani wanapewa asante.
Usipende sana masifa jwtz mtafanya lolote nini mbona hukufanya wakat upo kazini hao wanawashughulikia upinzani ndo watakushughulikia hata ww jwtz ukiwa mpinzani
 
Kama mko makini mtakubaliana namimi kwamba rais aliyeko madarakani na rais wote waliopita hawateui wastaafu kutoka jeshi la magereza ukilinganisha na jwtz na polisi.

Ni wazi kwamba magereza ipo tangu zamani na sio jeshi la jana, tangu mkoloni magereza ilikuepo.
Sababu zinazopelekea wasiteuliwe kushika nafasi mbalimbali ni hizi:

1.Wengi hawana elimu.

2.Ni waoga sana kukutana na viongozi wakubwa kama raisi

3.Wanaishi kwa fitna kuliko haki, wananyanyasana hata wao kwa wao, mwenye cheo anamnyanyasa asiye na cheo.

4.Ni watu wanapenda uovu,ufujaji mali za umma, kama askari hawa wangekua wasafi kwa nguvu kazi walionayo ya wale wafungwa basi wangeweza kuzalisha na kuhudumia jamii na kuipatia serikali mapato makubwa sana, cha ajabu serikali inatenga bajeti ya kutunza wafungwa.
Inamaanisha uzalishaji unaofanyika unaishia mikononi mwa watu wenye vyeo huko magereza.

5. Hawana ushirikiano kama ilivyo kwa polisi na jwtz.
Hilo liko wazi kama uko makini utagundua hilo.

Ongeza na sababu zako wewe unazoona hawa jamaa zinawafelisha.

Hapo katika namba 1 nadhani umewasingizia tu Mkuu kwani hakuna asiyejua kuwa Jeshi la Police ndilo linaoongoza kuwa na Mabashite mengi. Fanya taratibu kabisa Utafiti / Uchunguzi wako na utakuja kukubaliana na Mimi kwa 100% juu ya nilichokisema hapa.
 
na ndo maana wanaishi kwenye mabati hadi Leo
1 nahic pia ni wala rushw wakubwa
2 hawana elimu , Nina shemeji yangu yuko na zaidi 20yrs hapo keko kwenye nyumba ya mabati anaenjoy umeme wa bure, maji bure uwiii hana hata kiwanja cha kusingiziwa zaidi ya watoto wakutosha daslam hii na cheti nahic alifoji
WANALAANIWA SANA NA WANANCHI ndo chanzo cha matatizo yao
 
Back
Top Bottom