Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,017
- 10,179
Jamaa amepotea kweli...sijui yupo China ambapo baadhi ya mitandao imepigwa banhivi joseverest hapigi story kweli na huyo askari magereza!!?..sijamuona kitambo
Jamaa amepotea kweli...sijui yupo China ambapo baadhi ya mitandao imepigwa banhivi joseverest hapigi story kweli na huyo askari magereza!!?..sijamuona kitambo
Hii ni habari ya mwaka 2010 mkuu.Kamanda wa mkoa wa Mwanza najua ni Ahmed Msangi na siyo Simon Sirro.
R.I.P afande.
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuuhTangu ipositiwe hakukuwa na aliyechangia hadi leo hii
Inategemea uneweka mapigo gani? Moja moja au mfulilizoHii mbona haijakaa sawa! Mtu atajipigaje risasi tatu kichwani? Wajaribu kufatilia kwa karibu tukio hili - kuna walakini si bure.