Ask Me Any Question C/C++, Java, Python, PHP & Yii, JavaScript & JQuery

mkuu shikamoo............nataka nifanye automation ya kulink paypal account na local mobile banking yaani tigo pesa mpesa airtel money na z pesa.....yaani mtu akilipal bill kupitia paypal account yangu niweze kuireceive kwenye my mobile banking platfom and vice verse........hapo naweza adapt solution gani au kama kuna module yooyote ambayo ishakuwa developed naomba unijuze.............au nipe maujanja nianze from scratch
 

Mambo ya msingi:
1. Paypal wanakupa vp taarifa pindi mtu anapolipia kwenda account yako?
2. Paypal wanapokea vp malipo yanayofanywa na watu wengine kwenda kwenye account yako ya paypal
3. Una integrate vp paypal na web app or desktop app?
Majibu ya haya maswali yatakupa mwanga wa kuanzia.
 
Kwakweli mimi sina shaka na uwezo wako maana nilishakuwa mwanafunzi wako na nitarudi kuendelea, hata hiyo IDE yako ya php nimeishuhudia.
Sina shaka juu ya uwezo wako

mimi pia mkii sina shaka na uwezo wa Stefano Mtangoo kanisaidia vitu vingi mpaka sasa naweza sema i can do anything with php na mysql... hapa nampango wa kupiga kwake advanced php na kingine chochote ili kuwekea zege uwezo wangu
 
Last edited by a moderator:
Basically haiwezekani kwa sababu Tigo/Voda et al hawajatoa API kwa ajili ya matumizi hayo. So labda utumie Simu ya Android iwe ina pokea commands na kufanya sending au kupokea SMS na kuiprocess somehow kulingana na mahitaji yako. Hackish but that is the situation

Nilisahau kuuliza linahusu language ipi hili πŸ˜‰
 
mimi pia mkii sina shaka na uwezo wa Stefano Mtangoo kanisaidia vitu vingi mpaka sasa naweza sema i can do anything with php na mysql... hapa nampango wa kupiga kwake advanced php na kingine chochote ili kuwekea zege uwezo wangu
Ahsante kwa compliment boss πŸ™‚
 
Ni kwamba niliona swali uliloulizwa la kwanza limekaa ki-darasani, ndo nikauliza je tunatakiwa tukuulize ya mtindo huo?

Hapaa sio test. ni kama una burning question (kiswahili inakuwaje?) yanayohusu mambo hayo!
 
Stefano Mtangoo nimegundua kitu hapa JF especially hii forum ya Tech. Ukiwaambia watu wakuulize swali kuhusu Vinywaji, watu wanakuuliza kuhusu vitanda vya kulalia.

Kwa uelewa wangu nadhali ulikuwa unahitaji technical question. Maana katika replies za huu uzi ni wachache sana wamekuuliza kuhusu C/C++, Java, Python, PHP & Yii, JavaScript & JQuery ambazo ni programming languages (i.e mostly technical questions)
 
Why did you left part of title?
Hello!excuse my ignorance i know nothing about these knowledge but extremely interested,well i was simply thinking aloud no punny intended.
That said ,what would u recommend for a beginner in programming? any suggestion for selt teaching sites?
Thanks!
 
No worries!
For beginner I recommend you Learn Python first. It will teach you good coding and since it is interpreted and does memory allocation for you and type casting.

I recommend you start with Python 3 since its the latest and is incompatible with 2.x
I recommend the official tutorial for Jump Start and Book a Byte of Python by Swaroop
 

I salute you brother.
Ninafahamu you need to be deep indeed kuweza kuanzisha uzi kama huu especially sehemu kama jf.
 
I salute you brother.
Ninafahamu you need to be deep indeed kuweza kuanzisha uzi kama huu especially sehemu kama jf.

Thanks for compliment πŸ™‚
 
Thanks for compliment πŸ™‚

Naomba kuuliza swali hili pengine kwa faida ya wengi.
Unamshari nini mtu anayetaka kujifunza "mwenyewe" website design & application kwa kutumia codes na siyo kwa kutumia tools kama dream weaver?
 
Naomba kuuliza swali hili pengine kwa faida ya wengi.
Unamshari nini mtu anayetaka kujifunza "mwenyewe" website design & application kwa kutumia codes na siyo kwa kutumia tools kama dream weaver?

Hakuna shortcut ...
1. Soma na Ufahamu
2. Fanya Mazoezi
3. Rudia namba 1
 
Hakuna shortcut ...
1. Soma na Ufahamu
2. Fanya Mazoezi
3. Rudia namba 1

Labda kama sikuuliza vizuri, lengo langu ilikuwa kujua nitahitaji kupitia hatua gani na materials gani au vitabu gani kuweza ku-master huo utaalamu?
 
Do you have any question concerning C/C++, Java, Python, PHP & Yii, JavaScript & JQuery?
Ask me a question (AMAQ) is the way to go.
I will find time to answer any question ... as much as I can πŸ™‚
So ask me!

Mkuu swali langu sio technical question, its much of a general question..
Nina mdogo wangu turning 12 right now ndo anajoin ordinary level studies, ngeli inapanda n kichwani yuko vzr tu, sema nlikua napenda aanze kujifunza programming from this age, ningekua nakaa naye karibu ningemfundisha mwenyewe polepole sema since we are far nilipenda kama centre yenu mnafundisha hata hawa wenye umri mdogo then ningemlipia ajifunze, najua kuna some difficulties maana kuna some maths kwa mtu ambaye hata hajasoma vitu vyepesi kama factorization lazima vimpeleke kidogo... Au kama kuna centre yoyote unaijua inayohandle vijana wadogo unipe direction nifuatilie, hivi vitu wengine tulivianza ukubwani na challenges ni nyingi zaidi ya mtu ambaye kaanza mapema sana na kufanya kama hobby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…