uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,350
- 1,098
Nikimsikia Mtu anasema ,,,, oh !!!! Huyu bwana ni mtu mbaya sana ,,,,, ana roho mbaya,,,,,,, oh!!!! Amenisababishia Haya,,,,, isingekuwa yeye Mimi yasingenikuta,,,,,,,,oh!!!! Mimi saa hizi ningekuwa mbali sana .
Hizo lugha zote na nyingine kama hizo , zinaniambia umekwama katika uwezo wa kufikiri .
Kwani kimantiki unatakiwa uone jambo jema katika ubaya na ndiyo yanaitwa mafanikio . Tambua kuwa mtu unayemuona ana matatizo yaani yule anaeleta ubaya kwako ,,,, ndiye anayekufikisha katika safari yako ya ukuu.
Matatizo ,shida unayo wewe unayewalaumu watu , kwa Yale mabaya waliokufanyia , inatakiwa uone positivity katika makosa yao.
Kumbuka kwa wale waliosoma shule miaka ya early 80 kushuka chini , utakumbuka jinsi watoto walivyokuwa wanapigwa shuleni , mpaka inatokea siku ya graduation ya shule unatafuta kulipiza kwa kuwapiga walimu .
Shukuru kwa kila jambo kwani asiyeshukuru ni Muasi kifalsafa na hata kiimani , ona wema katika ubaya .
Be inspired
Hizo lugha zote na nyingine kama hizo , zinaniambia umekwama katika uwezo wa kufikiri .
Kwani kimantiki unatakiwa uone jambo jema katika ubaya na ndiyo yanaitwa mafanikio . Tambua kuwa mtu unayemuona ana matatizo yaani yule anaeleta ubaya kwako ,,,, ndiye anayekufikisha katika safari yako ya ukuu.
Matatizo ,shida unayo wewe unayewalaumu watu , kwa Yale mabaya waliokufanyia , inatakiwa uone positivity katika makosa yao.
Kumbuka kwa wale waliosoma shule miaka ya early 80 kushuka chini , utakumbuka jinsi watoto walivyokuwa wanapigwa shuleni , mpaka inatokea siku ya graduation ya shule unatafuta kulipiza kwa kuwapiga walimu .
Shukuru kwa kila jambo kwani asiyeshukuru ni Muasi kifalsafa na hata kiimani , ona wema katika ubaya .
Be inspired